Maisha ni popote.nagongelea na sumari la jahazi ngo ngo ngo📌🔨
nashukuru siishi ukimani bongo
Wapo waishio Europe ila masikini.
Waliofeli maisha bongo kama lamomy na mtoa mada ndio wanajifariji kwa kutoa general implication kuwa walio bongo wote masikini.
Ilhali kuna watu wanajiweza wanaishi kama wanaoishi Ulaya.