Kama ulikuwa unawatuma watoto wadogo wakamuite msichana kwao, wewe ni muhenga.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unapiga mawe juu ya bati ya nyumbani kwa binti kwa lengo la kumuita wewe ni muhenga nanusu
Mkiwa kwenye stage hiyo ya chuchu saa 6 huwa mnakuwa waoga sana nyie wahenga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mm huyo kabisa
Mimi nilikuwa nasema sasa watu wanatongozaje...siku moja nikaona katoto kalikiwa darasa la tatu mimi la nne.Kama ulikuwa unawatuma watoto wadogo wakamuite msichana kwao, wewe ni muhenga.
Siku moja jamaa kawatuma watoto wawili wakubwa kidogo waende kumuita msichana kwao, baada ya kufika wakakutana na baba yake amekaa nje wakaishia kujifanya wamepoteza mbuzi na wanamtafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha weeKama ulikua unatongozwa na kung'ata kucha au kuchezea jani la mti wewe ni muhenga mwenzangu
Wee babu bana, hukuwahi kuvuka stage kweli....Umenikumbusha kale ka mchezo ka baba na mama. Nilikuwa bingwa wa kuitendea haki nafasi ya baba
aisee...! kweli mimi ni muhenga!Kama ulikuwa unazungusha cassete na peni wewe ni muhenga
Kama ulikuwa unakula gud gud chocolate wewe ni muhenga
Kama ulikuwa unachana nywele na chanuo la chuma unalipitisha kwny moto wewe ni muhenga
Kama ulikuwa unaweka vimstari kwny shati la shule ukipiga pasi wewe ni muhenga
Kama ulikuwa unavaa raba za dingi hana uwezo ( dhl) shuleni wewe ni muhenga
Kama ulikuwa unapenda matandu na ukoko unayaloweka na mchuzi viloane ndo ule wewe ni muhenga
Kama ulikuwa jnakisubiria kipindi cha mama na mwana redio tanzania wewe ni muhenga hama kwenu kajitegemee
Walikuwa wanasema wanaenda kukusema kwa mama yao, halafu mama yake akakinukishe home kwenuMimi nilikuwa nasema sasa watu wanatongozaje...siku moja nikaona katoto kalikiwa darasa la tatu mimi la nne.
Nikakafuata taratibu nikakambia naomba ....ma.
Kaliruka kama kamepigwa starter. Kakamwaga sugari kaliyobeba....
Hiyo kesi iliyokuja sitakaa niisahau.
[emoji1787] ukouko anaponifuta mimiTeh na yeye wamfuta wapi?
HahahahaMkiwa kwenye stage hiyo ya chuchu saa 6 huwa mnakuwa waoga sana nyie wahenga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shemeji yangu kwa Dada angu nakuonaWacha wee
Bakora ipi eti@asprin huyu mtoto anahitaji bakora.
Niko hapa mkuuHuyo mhenga wa Grade A kabisa
[emoji1787][emoji1787] na mimi umenikumbusha jamani yani sijaacha kuwa mama Asprin wewe ni mhenga mwenzangu kabisaUmenikumbusha kale ka mchezo ka baba na mama. Nilikuwa bingwa wa kuitendea haki nafasi ya baba
[emoji848][emoji144]na mafuta ya ashersMshana nanua wewe umeogea komoa saana na umetumia Give na Ayu...
Wewe ni mhenga kaka.