Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #41
Nimeipenda hiišhapa ndio tunaweza kuongea lugha moja sasaš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda hiišhapa ndio tunaweza kuongea lugha moja sasaš
Mkuu endelea kubaki kuwa fukara hili ukutane na pepoMatajiri wengi siyo watu wazuri.
Ndiyo maana wapo tayari kuuza bidhaa zilizopita muda wake ili mradi waongeze utajiri wao.
Baadhi ya matajiri wanalipa stahiki ambazo hazikidhi haja za waajiliwa wao.
Katika jamii kama hiyo uaminifu wa watu unakuwa chini.
10M imetangazwa kaidondosha nani? Mo Dewji?Yaani niokote pesa nikawapeleke polisi, POLISI hawa hawa ninaowajua mimi, ndugu yangu huwajui polisi wetu vizuri.
Ikiwa imetangazwa basi ninaweza rejesha.
Lakini pia inahitaji imani kubwa haswaa, una dhiki zako, mwanao anahitaji laki 7 hapo muhimbili, nyumba yako inahitaji milioni 2 kupaua upya, mabati ya sasa yanavuja.
Inahitaji imani ya level ya juu sana.
Hakuna uhusiano baina ya ufukara na pepo wala utajiri na pepo.Mkuu endelea kubaki kuwa fukara hili ukutane na pepo
Yaani niokote pesa nikawapeleke polisi, POLISI hawa hawa ninaowajua mimi, ndugu yangu huwajui polisi wetu vizuri.
Ikiwa imetangazwa basi ninaweza rejesha.
Lakini pia inahitaji imani kubwa haswaa, una dhiki zako, mwanao anahitaji laki 7 hapo muhimbili, nyumba yako inahitaji milioni 2 kupaua upya, mabati ya sasa yanavuja.
Inahitaji imani ya level ya juu sana.
Umekuwa mkweliMimi kama mimi kurudisha hela nimeokota siwezi,. Leo saa3 asubuhi kuna mtu kakosea kutuma Laki2 kwenye namba yangu ya Voda nimeihamishia Kwenye Halopesa nimetulia na mpango wa kuirudisha sina
Ubinadamu nilishafanyaga sana na haukunilipa wala kunifikisha popote. Wacha nijilipe tu maana nishalizwa sana
Umekuwa mkweli
Unasema hivyo Kwa sababu wewe ni Meneja Wa Makampuni, ngoja ufukuzwe kwenye hiyo nafasi uone kama utarudisha hele uliyookota hata kama ni Tsh 200.Nikiokota pesa ya kuokota namtafuta mwenye nayo nampatia. Pesa ya kuokota sio yako wala haiwezi kukuongezea chochote kwenye akili yako.
Nitafanya kila jitihada mpaka nimpate mwenye nayo mimi mwenyewe.
Mtu kama bakil/resa, mo dewji wadondoshe alafu niwarudishie wakati nabeba viroba asubuhi mpaka jioni kwa buku nneView attachment 3186821
Hivi leo hii ukisikia mtu kaokota shilingi milioni kumi [10,000,000] halafu kaipeleka polisi au karudisha kwa mwenyewe,je utamwonaje? Bilashaka wengi wetu tutamwona ni mpumbavu
Ukweli ni kwamba mtu huyu ni mkubwa kuliko hiyo hela ambayo wengi wetu tunababaika nayo,yupo imara kiroho,kihisia na ana uwezo mkubwa wa kudhibiti tamaa yake,akisema hapana ni hapana na akisema ndio ni ndio,hakuna tena migongano au mvutano wa fikra zake
Hata sisi ni wakubwa pia ni vile tu bado hatuja tumia uwezo wetu wa ndani kabisa,sisi ni wakubwa kuliko dharau tunazo fanyiwa na watu mbali mbali katika maisha yetu ya kila siku,ukiwa mkubwa kuliko dharau unazofanyiwa,utazipuuza na hazita kuumiza kichwa na kushindwa kufanya mambo yako binafsi
Ukiwa mkubwa hautashindwa kusamehe makosa uliyofanyiwa na binadamu wenzako,kwakuwa unajua wewe ni mkubwa kuliko hayo makosa uliyofanyiwa hivyo unaweza kuwasamehe wale wote walio kukosea,lau ukiamini wewe ni mdogo kuliko hayo makosa hakika hautaweza kuwasamehe watu na utaishi kwa vinyongo kila siku
Tambua kwamba wewe ni mkubwa kuliko hayo mapenzi ambayo kila siku yanakuumiza kichwa na hisia zako pia,unaweza kuyaweka pembeni na kusonga mbele,kwakuwa unajua wewe ni mkubwa kuweza kupata mwenza mzuri zaidi atakayeendana na vigezo vyako
Kwa jambo lolote na hali yoyote utakayo kutana nayo maishani tambua wewe ni mkubwa kiroho,kihisia,kimtazamo na una uwezo wa kuhimili hali hiyo kwakuwa uwezo huo unao
Ni hayo tu!
Sirudishi nikiziokota ni kuzimwagia mkojo wangu..... Asubuhii huku nafukiza na ubani taratibu nikishukuru nimeokota dodo....Unasema hivyo Kwa sababu wewe ni Meneja Wa Makampuni, ngoja ufukuzwe kwenye hiyo nafasi uone kama utarudisha hele uliyookota hata kama ni Tsh 200.
Monetary doctor mwenyewe huwa harudishi wewe ni nani?
Yeah, Kuokota hale pia ni kupambana mkuu ndiyo maana kuna msemo usemao mgaa gaa na upwa hali wali mkavu au mtembea bure siyo sawa na mkaa bure.Sirudishi nikiziokota ni kuzimwagia mkojo wangu..... Asubuhii huku nafukiza na ubani taratibu nikishukuru nimeokota dodo....
So poa bwashee ni kipengele hasaYeah, Kuokota hale pia ni kupambana mkuu ndiyo maana kuna msemo usemao mgaa gaa na upwa hali wali mkavu au mtembea bure siyo sawa na mkaa bure.
Yaani uko sahihi mno. Asante.Nitarudisha pesa ya kuokota kama tu;
Sitokuja kufanya kosa la kuokota pesa na kuipeleka Polisi. Polisi ni wezi na majambazi. Kupitia hiyo pesa wanaweza hata kunidhuru ili wajimilikishe.
- nimemuona alieidondosha.
- kumetangazwa kupotea hiyo pesa na muhusika.
FactiSo poa bwashee ni kipengele hasa
Nakubali kakaFacti
Mm sio kumi hata mil moja mpk billion hyo sina shida nayo ukichukua shida utakayoipata never explained rudisha ela ya watu ukuwe kiimani lakini hii wanawezq wale tu waliolelewa na kufunzwa vyema sio kila mtuHuu ndio ukubwa ninao uzungumzia hapa,hongera