Wewe ni mkubwa kuliko shilingi milioni Kumi

Wewe ni mkubwa kuliko shilingi milioni Kumi

Mm sio kumi hata mil moja mpk billion hyo sina shida nayo ukichukua shida utakayoipata never explained rudisha ela ya watu ukuwe kiimani lakini hii wanawezq wale tu waliolelewa na kufunzwa vyema sio kila mtu
Hao waaminifu wa pesa huwa wanaitwa washamba, wavaa mashati na vitenge na suruali za vitambaa. Mademu wa 2004 hawawapendi kwa maana hawana swagger za mjini..
 
Hili andiko ama post nimeipenda kwa sababu nimeitumia hii mbinu kumpuuza wife alivyoanza dharau nikafokasi na pilika zangu za life nikatusua naona kakaa kwenye mstari bila mimi kupanua domo
 
Nimekosoma mkuu endelea kufanya juhudi za kubaki kuwa fukara,ombea na kizazi chako chote wawe mafukara wa kutupwa na muwe watumwa wa matajiri.
Utajiri wa dhuluma na unyang'anyi siutaki mimi..
 
nakumbuka mama yangu alirudisha milioni 2, iliyokosewa kutumwa,...bi mkubwa alipoirudisha, jamaa alipiga simu huku akilia kama mtoto mdogo kushukuru,...ilikuwa ni hela ya matibabu ya mama yake kipenzi aliyelazwa hospital,....now we have a best family's friends ever🙏🙏
 
Hapo kwenye dhiki na mahitaji yako ndio inahitajika ustahamilivu wa kutosha kupinga tamaa yako binafsi au uwe mkubwa kushinda tamaa yako na kurudisha hela za watu

Wengi wetu hapa ndio kwenye mtihani boss
Inawezekana hiyo ndio njia Mungu kakupa ku solve matatizo yako halafu unaipeleka polisi?
 
Back
Top Bottom