Wewe ni mkubwa kuliko shilingi milioni Kumi

Mkuu endelea kubaki kuwa fukara hili ukutane na pepo
 
10M imetangazwa kaidondosha nani? Mo Dewji?

Mungu anajua anazo nyingine
 

Kwa shida hizo haihitaji imani tena, Ni lazima uwe nabii au mtume ndo utashinda hapo!
 
Umekuwa mkweli
 
Nikiokota pesa ya kuokota namtafuta mwenye nayo nampatia. Pesa ya kuokota sio yako wala haiwezi kukuongezea chochote kwenye akili yako.
Nitafanya kila jitihada mpaka nimpate mwenye nayo mimi mwenyewe.
Unasema hivyo Kwa sababu wewe ni Meneja Wa Makampuni, ngoja ufukuzwe kwenye hiyo nafasi uone kama utarudisha hele uliyookota hata kama ni Tsh 200.

Monetary doctor mwenyewe huwa harudishi wewe ni nani?
 
Mtu kama bakil/resa, mo dewji wadondoshe alafu niwarudishie wakati nabeba viroba asubuhi mpaka jioni kwa buku nne
 
Yaani uko sahihi mno. Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…