Wewe uliyetudanganya kuwa tukiweka dawa ya meno kwenye uume tutapata matokeo chanya Mungu anakuona. Mkuyenge wangu ulikata moto.

Wewe uliyetudanganya kuwa tukiweka dawa ya meno kwenye uume tutapata matokeo chanya Mungu anakuona. Mkuyenge wangu ulikata moto.

Hi gentlemen & ladies!
Kama sitakosea ilikuwa 2019 mdau mmoja humu alitupia uzi au alichangia kwenye uzi fulani uliozungumzia jinsi ya kuboresha tendo la ndoa.
Alielezea kuwa ukichukua mafuta ya mgando kidogo ukimix na dawa ya meno kidogo kisha ukimpaka dula kichwa wazi basi utapata raha ya kufa mtu pamoja na mwenzi wako.
Nilifanya hivi mara kadhaa. Baadaye ngoma ikagoma. Nikahisi kawaida labda kwakuwa wife nishamzoea. Siku moja nilimpata mtoto mmoja wa Kigogo mmoja mtoto kimwonekano sio mzuri ila ana chungu kitamu balaa.
Pamoja na ukali wake niliishia kula tonge moja tu. Kila akinichezea bila bila, nilipata aibu sana. Nikachukua simu nichek x ili nibusti bado bilabila.
Aisee sirudii tena kutumia dawa za kuongeza ladha.
Nimejitibu sasa nimepona.
Vijana turidhike na mapenzi, tusisikilize story za vijiweni.
Dawa ipi ya meno? As far as I know, dawa za meno kuna content zinatofautiana... we uliweka ipi? BY THE WAY, ULIAMBIWA UWEKE IPI?
 
Asali+ unga wa mdalasini+Unga wa tangawizi.



Pendelea kutafuna karanga....mara ingine parachichi, mara nyingine Mihogo
Ongeza hapo habat souda +vitunguu saumu.Tumia dozi asubuhi na jioni ndani ya siku 14,aisee utapona na utapiga shoo kali sana.
 
Mi nilipaka colgate bila kuchanganya na kitu aisee dushee liliuma balaa halafu likawa kama linasikia baridi kali sana kama vile limewekwa kwenye friji nahisi kwasababu ya ile mint. Nilijuta na sijawahi kujaribu tena ujinga.
 
Vijana wa bavicha mna akili ndogo sana aisee
Nakuona hapo

tapatalk_1523874451299.jpg


IMG-20191012-WA0054.jpg
 
Navyofahamu mimi dawa ya mswaki ikipakwa husababisha kichwa kufa ganzi
kitu ambacho hupunguza msukumo wa hisia wakati wa tendo ambapo ndiyo sababu ya kukimbia mda mrefu bila kufika kileleni

Huwa wanashauri upake kwa mda fulani na uifute kwa maji safi kabla ya kumwingilia mama chanja
 
Hi gentlemen & ladies!
Kama sitakosea ilikuwa 2019 mdau mmoja humu alitupia uzi au alichangia kwenye uzi fulani uliozungumzia jinsi ya kuboresha tendo la ndoa.
Alielezea kuwa ukichukua mafuta ya mgando kidogo ukimix na dawa ya meno kidogo kisha ukimpaka dula kichwa wazi basi utapata raha ya kufa mtu pamoja na mwenzi wako.
Nilifanya hivi mara kadhaa. Baadaye ngoma ikagoma. Nikahisi kawaida labda kwakuwa wife nishamzoea. Siku moja nilimpata mtoto mmoja wa Kigogo mmoja mtoto kimwonekano sio mzuri ila ana chungu kitamu balaa.
Pamoja na ukali wake niliishia kula tonge moja tu. Kila akinichezea bila bila, nilipata aibu sana. Nikachukua simu nichek x ili nibusti bado bilabila.
Aisee sirudii tena kutumia dawa za kuongeza ladha.
Nimejitibu sasa nimepona.
Vijana turidhike na mapenzi, tusisikilize story za vijiweni.
Mkuu kama hautojali tupe siri y kupona kwako hiii itasaidia kwa wengine pia maana umetuambia umejitibu na umepona sasa 😁
 
Back
Top Bottom