Mkuu saa km hii original zinauzwa wapi hapa darPATEK PHILIPPE (Geneve) OG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu saa km hii original zinauzwa wapi hapa darPATEK PHILIPPE (Geneve) OG
Mkuu saa km hii original zinauzwa wapikitu cha omega pure silver simple but bei yake tamView attachment 1225704
Mkuu saa kama hii naipata wapi hapa darView attachment 1225859
TAG HEUER
Rolex ya bei ya chini kwa mujibu wa taarifa za mitandaoni ni usd 4000, takribani milioni nane na ushee...Ni Rolex Submariner Boss nadhani hapo kila kitu kinaonekana.... Kuhusu Bei siwezi kujua Zaidi.. Ila Niletewa zawadi.
Zipo Rolex cheaper zaidi ya hapo, ishu ni kutofautisha og na fake, maana siku hizi naskia hata mtu uende Dubai unaweza ambulia Rolex fake kama ni mgeni wa hayo mamboRolex ya bei ya chini kwa mujibu wa taarifa za mitandaoni ni usd 4000, takribani milioni nane na ushee...
Kama model ipi, then tukacheki bei katika official site ya Rolex mkuu?Zipo Rolex cheaper zaidi ya hapo, ishu ni kutofautisha og na fake, maana siku hizi naskia hata mtu uende Dubai unaweza ambulia Rolex fake kama ni mgeni wa hayo mambo
Ni kweli, brand kama hizo Rolex,Hublot,Audemar,"Rich Millie", Patek Phelippe watu wanapigwa, hizo saa hakuna za bei za laki laki mkuu, kama Rolex labda used ndio upate kwa dollar elfu 2, lakini Rolex mpya genuine kutoka kwao Rolex huwezi pata kwa laki 5,6,7,8......Mimi saa huwa singalii brand, na kuna nyingine ninazo wala sijui zinaitwaje, tena sina yoyote ya brand kubwa.
Ninaangalia muonekano wake, uhitaji na gharama, isizidi 40k kwa hizi za kawaida na isizidi 150k kwa smart watch, maisha yenyewe magumu haya.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]zinauzwaga karume
Hili lisaa ni la kibingwa sanaMkuu labda nikuulize, zaidi ya kuangalia mda, hizo namba zingine kwenye hiyo saa, mfano 180,240, 25,30,35 etc zinatumika kufanyia nini?
🤣🤣 kuna ule usemi kuwa usipokuwa nà hela unaona watu kwenye matumizi yao kama wanachezea pesa.....naona usemi unaambatana nami kwa kasi.....haa...Ngoja niwape presha wapenda saa wenzangu....
Angalieni bei hizi
View attachment 1225710View attachment 1225711View attachment 1225712View attachment 1225713View attachment 1225714View attachment 1225716View attachment 1225717View attachment 1225718View attachment 1225719View attachment 1225721View attachment 1225723View attachment 1225725
Je wewe unapendelea saa Brand ya aina gan ya mkononi me napenda Rolex wewe je karibuView attachment 395914
View attachment 1225859
TAG HEUER
zile labda uagizeWadau hivi, saa za casio data bank zimepotelea wapi? Nimemaliza maduka
Rolex mi naangaliaga material tu, nikiona mabati sinunui! Zile OG zetu za kariakoo ni zenye material ambayo ni stainless steel, ukishika mkanda tu unai feel saa mkononi. wanauza kati ya 150k-200kZipo Rolex cheaper zaidi ya hapo, ishu ni kutofautisha og na fake, maana siku hizi naskia hata mtu uende Dubai unaweza ambulia Rolex fake kama ni mgeni wa hayo mambo