Wewe unapendelea kuvaa saa aina gani ya Mkononi?

Wewe unapendelea kuvaa saa aina gani ya Mkononi?

Rolex mi naangaliaga material tu, nikiona mabati sinunui! Zile OG zetu za kariakoo ni zenye material ambayo ni stainless steel, ukishika mkanda tu unai feel saa mkononi. wanauza kati ya 150k-200k
Hapo unapaweza wazoefu. Mimi hata leo kugundua ipi og ipi fake ni ngumu. Ndio maana hizi brand kubwa kubwa labda nipewe zawadi na mtu au nipate kitu toka kwa trusted seller
 
Hapo unapaweza wazoefu. Mimi hata leo kugundua ipi og ipi fake ni ngumu. Ndio maana hizi brand kubwa kubwa labda nipewe zawadi na mtu au nipate kitu toka kwa trusted seller
Hahah unaeza uziwa bati la 25k kwa elfu 80
 
Saa OG ya Rolex ni noma....ya bei chee kabisa kuanzia milioni 5 za kibongo....unakuta saa inauzwa Tshs120,000,000/- Hapo zinaenda hadi 300m huko..nilichoka nikahisi nimekosea kuangalia..aafu sasa cha ajabu kwa macho huoni uzuri wowote ni saa ya kawaida sana...
Na hakunaga rolex org ya 150k-200k so hapo mtu atanunua feki yenye angalau kidogo hahah.
 
Mi napenda sana Citizen eco drive....Roho yangu inakuwa na amani sana..Ukinunua pale dubai duty free unapewa na warranty kabisa
1572522656445~2.jpeg
 
Hahah hata humu kuna mdau nime mwambia kukuta rolex cheap ni zile used na zenyewe zina range kwny Tsh.6mil mkuu.

Zile saa ma-tycoon ndio wanajua thamani zake, kuna wengine ukiwa unapiga nae deal akakuona na ile saa tu tayari umeshajiongezea credit na anajua huyu tutaongea nae michongo ya maana inshort kwny b'ness meeting inaongeza credit.

Ila zina disadvantage zake pia,kuna mwana alishaishi US kwa miaka kadhaa then akawa amerudi bongo, ikatokea akapata interview na bank flani hivi ya nje iliyoko hapa bongo ktk interview kuna interviewer kwny panel ni mzungu akaiona saa ya mshkaji akamwambia hio ni rolex model flani sio jamaa akajibu ndio,akaambiwa hio used ina range from $7,000-$9,000 akasema yes.

Then Interview ikaendelea fresh na mwishowe akaambiwa you look expensive and we aren't sure if we can afford you but we'll keep in touch ikawa ndio Mazima mpk leo hawakuwahi kumtafuta tena hahah.

Ila huku Uswazi hakuna anayejua thamani ya rolex org.
Saa OG ya Rolex ni noma....ya bei chee kabisa kuanzia milioni 5 za kibongo....unakuta saa inauzwa Tshs120,000,000/- Hapo zinaenda hadi 300m huko..nilichoka nikahisi nimekosea kuangalia..aafu sasa cha ajabu kwa macho huoni uzuri wowote ni saa ya kawaida sana...
 
20191101_104400.jpg

CASIO WR 100M mi kuna collector mmoja wa saa alirecomend ni bora kuvaa saa original ya bei rahisi kama seiko au casio badala expensive watch which is fugazi (fake)..my other baby
 
Hizo saa baba ni shida....kama unaangaliaga series kuna el chapo au pablo escobar...aka matycoon wa mexico na colombia huko ndo level zao....
Rolex kama ingekuwa gari basi tungeiita Rolls Royce maana hiyo gari sifa yake kubwa ni kwamba inatengenezwa kwa mikono (handmade).
Unakuta mtu kavaa mdosho wa rolex na yy anajiona kayapatia sana maisha kumbe saa 70,000/-.Alafu anakuambia ni OG [emoji1787][emoji1787]
Hahah hata humu kuna mdau nime mwambia kukuta rolex cheap ni zile used na zenyewe zina range kwny Tsh.6mil mkuu.

Zile saa ma-tycoon ndio wanajua thamani zake, kuna wengine ukiwa unapiga nae deal akakuona na ile saa tu tayari umeshajiongezea credit na anajua huyu tutaongea nae michongo ya maana inshort kwny b'ness meeting inaongeza credit.

Ila zina disadvantage zake pia,kuna mwana alishaishi US kwa miaka kadhaa then akawa amerudi bongo, ikatokea akapata interview na bank flani hivi ya nje iliyoko hapa bongo ktk interview kuna interviewer kwny panel ni mzungu akaiona saa ya mshkaji akamwambia hio ni rolex model flani sio jamaa akajibu ndio,akaambiwa hio used ina range from $7,000-$9,000 akasema yes.

Then Interview ikaendelea fresh na mwishowe akaambiwa you look expensive and we aren't sure if we can afford you but we'll keep in touch ikawa ndio Mazima mpk leo hawakuwahi kumtafuta tena hahah.

Ila huku Uswazi hakuna anayejua thamani ya rolex org.
 
Back
Top Bottom