Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elfu 70 tu? Hata kama nina njaa kiasi gani narudisha. Kwanza kiutaratibu yeye ndo anapaswa kureverse muamala.Mfano tu mtu kakosea katuma pesa kwako kimakosa 70k elfu anaomba uirudishe na wewe ulipo iona ukaamua kuitoa hapo hapo maana ulikuwa karibu na wakala af anapiga simu sana una amua kublock namba kuna shida yoyote?
Itoe kisha mtumie kwa wakalaShida ni kwamba kuna wengine wanasema ukiirudisha unaweza ukapoteza pesa zako zote
Kama ushaitoa atareverse vipiElfu 70 tu? Hata kama nina njaa kiasi gani narudisha. Kwanza kiutaratibu yeye ndo anapaswa kureverse muamala.
Hata sijuiHii nimeisikia, huwa wanapiga vipi?
Siwezi itoa pesa nisiyojua imetoka wapi. Nitasubiri nione mwisho wakeKama ushaitoa atareverse vipi
Kazi bure akiiripoti kwenye kampuni za simu watakata hela yake siku isiyo na jina tena akiwa na shida labda asitumie simu maisha yke yoteKama huna nia ya kurudisha sikushauri upokee simu yoyote wala kupokea malalamiko ya hela kama hizo..
Hizo Hela zitakuua...
wasukuma wanajua hio michezo
utasikia Doho shida gete... kumbe anawahi kukumaliza!
Usipokee simu, toa simcard au block all incoming calls for the time being
Unairipotia kwa kampuni ya simu au mwache airejeshe mwenyewe kama masaa 24 hayajapitaSiwezi itoa pesa nisiyojua imetoka wapi. Nitasubiri nione mwisho wake
Sitareport popote. Nitaiacha hata mwezi mzima. Ikipita mwezi halali yangu😅. But ikitokea akajitokeza siku yoyote namrudishiaUnairipotia kwa kampuni ya simu au mwache airejeshe mwenyewe kama masaa 24 hayajapita
Mwambie aliekosea kukutumia awasiliane na Tigo/Voda etc wamrudishie.Shida ni kwamba kuna wengine wanasema ukiirudisha unaweza ukapoteza pesa zako zote
NimeridishaRudisha tuu kwa tahadhari,Hujui hiyo pesa ya nini mzee,unaweza kuta imetumwa kuokoa uhai wa mtu sehem atibiwe wewe unaila.
Ni dhambi tu tunajiokotea
Nimeirudisha mda tu nilikuwa nawachoraElfu 70 ya dhulma haitokufikisha popote.
Mimi nitarudisha.
TeyariSio fresh rudisha ..
TeyarBinafsi hata siwazi mara mbili nairudisha chapu tu mwenyewe akinicheki
Ungenitumia Mimi nimrudishie MwachiluwiTeyari