Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe fuata moyo wako, mimi narudisha.Kubwa zaidi ya elfu 70? Kama mada inavyosema na wewe ulivyojibu.
Sure bro , mda mwingne njaa huwa inakuja na maelekezo.Wewe fuata moyo wako, mimi narudisha.
Mimi ukifanya huo ujinga, utanitajirisha nakuambia. Labda ukimbie nchi.Mfano tu mtu kakosea katuma pesa kwako kimakosa 70k elfu anaomba uirudishe na wewe ulipo iona ukaamua kuitoa hapo hapo maana ulikuwa karibu na wakala af anapiga simu sana una amua kublock namba kuna shida yoyote?
Siku zote mwenye huruma hanaga bahatiRudisha tuu kwa tahadhari,Hujui hiyo pesa ya nini mzee,unaweza kuta imetumwa kuokoa uhai wa mtu sehem atibiwe wewe unaila.
Ni dhambi tu tunajiokotea
Zwazwa tu wewezwazwa mwenyewe
Mhhhhh we Mama wee kuwa mkweli.Elfu 70 ya dhulma haitokufikisha popote.
Mimi nitarudisha.
Matapeli utawajua tyuMhhhhh we Mama wee kuwa mkweli.
Hujipotray Kama wema kumbe snake.Matapeli utawajua tyu
SASA MBONA KAMA MNANIZOMEA
Rais wa majobless Intelligent businessman hanipi hata fedha ya kufanyia shughuli za chama.
.itategemea hiyo siku nimeamkaje!
Pondamali KufakwajaRudisha tuu kwa tahadhari,Hujui hiyo pesa ya nini mzee,unaweza kuta imetumwa kuokoa uhai wa mtu sehem atibiwe wewe unaila.
Ni dhambi tu tunajiokotea