yassird200
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 466
- 813
Usisikize motivation za kijinga anglia kwanza unahari gani ya kiuchumi .hiyo nayo niriziki. Hakuna dhuluma hapo wengi wao wamedhulumu sana tu mkuu we tumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio njia sahihi, ukisema uitume utakatwa piaMwambie aliekosea kukutumia awasiliane na Tigo/Voda etc wamrudishie.
Nimezungumzia teknolojia ya asili we kijana kuwa mwelewaKazi bure akiiripoti kwenye kampuni za simu watakata hela yake siku isiyo na jina tena akiwa na shida labda asitumie simu maisha yke yote
chama Cha ma jobless pro max hakina fedha.Rais wa majobless Intelligent businessman hanipi hata fedha ya kufanyia shughuli za chama.
.itategemea hiyo siku nimeamkaje!
Acha uzwazwa weweeNitairudisha ila nitamtukana sana maana ananiingiza majaribuni tena siku kama ya leo toka nimeamka naona Serengeti yabaridi kichwani halafu mfukoni teh!.
Asee mpwayungu rudisha hela ya watu wewe.Mfano tu mtu kakosea katuma pesa kwako kimakosa 70k elfu anaomba uirudishe na wewe ulipo iona ukaamua kuitoa hapo hapo maana ulikuwa karibu na wakala af anapiga simu sana una amua kublock namba kuna shida yoyote?
elf 70 mkuu inakuondolea utu namna hiyo, haya tufanye umeichukua umefanyia nini cha maana? usikute kuna mgonjwa alikuwa anatakiwa apone kwa ajili ya hiyo hela, kuna mwanafunzi alitakiwa afanye mtihani wa chuo maana hiyo ndio ada ya kujaziaMfano tu mtu kakosea katuma pesa kwako kimakosa 70k elfu anaomba uirudishe na wewe ulipo iona ukaamua kuitoa hapo hapo maana ulikuwa karibu na wakala af anapiga simu sana una amua kublock namba kuna shida yoyote?
Tafuta pesa mkuu,sabini sio pesa ya kuomba ushauri uirudishe ama uitumie.Mfano tu mtu kakosea katuma pesa kwako kimakosa 70k elfu anaomba uirudishe na wewe ulipo iona ukaamua kuitoa hapo hapo maana ulikuwa karibu na wakala af anapiga simu sana una amua kublock namba kuna shida yoyote?
zwazwa mwenyeweAcha uzwazwa wewee
hahah ingepoteaUngenitumia Mimi nimrudishie Mwachiluwi
😂 kuna vichwaUsisikize motivation za kijinga anglia kwanza unahari gani ya kiuchumi .hiyo nayo niriziki. Hakuna dhuluma hapo wengi wao wamedhulumu sana tu mkuu we tumia.
SureMwambie ali verse mwenyewe,wewe usitume au awasiliane na mtandao husika wafanye hio process.
Ila wengi humu wanasema rudisha,siwaamini sana kama wao wangefanya hivo.