Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
Nimeirudisha mkuu mda san nikuwa nawachora tuelf 70 mkuu inakuondolea utu namna hiyo, haya tufanye umeichukua umefanyia nini cha maana? usikute kuna mgonjwa alikuwa anatakiwa apone kwa ajili ya hiyo hela, kuna mwanafunzi alitakiwa afanye mtihani wa chuo maana hiyo ndio ada ya kujazia