Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Namshauri akae kimya ajipange upya .. Huko nako siku hizi ni walewale tuuMshauri aende pemba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namshauri akae kimya ajipange upya .. Huko nako siku hizi ni walewale tuuMshauri aende pemba
Umeibiwa tv gani kabla sijatoa pole? Ukute ni Boss, Singsung au AboderBaada ya kumaliza kuangalia tuzo za muziki, nikalala naamka asubuhi hii nakuta wezi wametembea na Tv yangu.
Hapa natafuta nauli niende Bagamoyo au Pangani au Kwamsisi Tanga. Wezi wanarudishabsana maendeleo nyuma.
View attachment 2174025
View attachment 2174026
Pole sana, angalia kwanza polisi kama wanaweza kukusaidia ila kama hawawezi, nenda ndugu yangu.. sio muda wa kucheka na nyaniBaada ya kumaliza kuangalia tuzo za muziki, nikalala naamka asubuhi hii nakuta wezi wametembea na Tv yangu.
Hapa natafuta nauli niende Bagamoyo au Pangani au Kwamsisi Tanga. Wezi wanarudishabsana maendeleo nyuma.
View attachment 2174025
View attachment 2174026
Mkuu Wana ramba Asali amu amuBaada ya kumaliza kuangalia tuzo za muziki, nikalala naamka asubuhi hii nakuta wezi wametembea na Tv yangu.
Hapa natafuta nauli niende Bagamoyo au Pangani au Kwamsisi Tanga. Wezi wanarudishabsana maendeleo nyuma.
View attachment 2174025
View attachment 2174026
Ipoje hii mkuuukinunua nyingine funga tracking system kabisa
Dah😂😂😂Kampuni ya Uchukuzi imetimiza majukumu yake.
Hakuna kibaka mwizi jambazi asiye roga, ushirikina ni supu kwaoHawatoki mbali hao, ni wakali wa hapohapo kitaa unakuta hata ni masela wako....Na ukienda kwa mganga usimwambie mtu hata msela wako wa karibu, hawachelewi kujiwekea gadi...
Hadi sio poa..
Ipoje hii mkuu
Aje kwako. Huduma ya uhakika bro! Hahahaha.Usiende huko unaenda kupoteza zaidi