Wezi walichonifanyia usiku wa kuamka leo

Wezi walichonifanyia usiku wa kuamka leo

hawajakubaka kweli maana kama had wamebomoa mlango ,wamefungua tv hujashtuka ebu jichukuze wasije wakawa wamekufanya jambo
 
Uchawi ungekuwa na msaada ungeanza kuutumia kama kingi hao jamaa wasiweze kuingia ndani kwako...
 
aisee pole sana,kwa hiyo tuzo za tma zimeweka historia kwenye maisha yako
 
Picha tafadhali, na zinauzwa wapi?
70000
YUPO INSTAGRAM

Marty Store
Electronics
+255713388226,+255753388226
marty-store.company.site
MINI TRACKER.jpg


70000
YUPO INSTAGRAM

Marty Store
Electronics
+255713388226,+255753388226
marty-store.company.site
 
Baada ya kumaliza kuangalia tuzo za muziki, nikalala naamka asubuhi hii nakuta wezi wametembea na Tv yangu.

Hapa natafuta nauli niende Bagamoyo au Pangani au Kwamsisi Tanga. Wezi wanarudishabsana maendeleo nyuma.

View attachment 2174025

View attachment 2174026
Kwa. Kutumia. Forescing. Crime analysis walipuliza sawa ya kukusababisha wewe. Ulale , mzee maana sign Ya kubomolewa mlango inasema tu ,
 
Back
Top Bottom