Wezi walichonifanyia usiku wa kuamka leo

hawajakubaka kweli maana kama had wamebomoa mlango ,wamefungua tv hujashtuka ebu jichukuze wasije wakawa wamekufanya jambo
 
Uchawi ungekuwa na msaada ungeanza kuutumia kama kingi hao jamaa wasiweze kuingia ndani kwako...
 
aisee pole sana,kwa hiyo tuzo za tma zimeweka historia kwenye maisha yako
 
Kwa. Kutumia. Forescing. Crime analysis walipuliza sawa ya kukusababisha wewe. Ulale , mzee maana sign Ya kubomolewa mlango inasema tu ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…