Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Wakina nani wanafunga hiyo tracking systemukinunua nyingine funga tracking system kabisa
fundi wa tvWakina nani wanafunga hiyo tracking system
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ushahidi upo au sioPole!.
Angalau wamekuachia remote. Mgeni akija utapata hata ushawishi wa kuvalidate kuwa umeibiwa.
Kanunue betri mpya kabisa.
Probably walikupangia hilo zoezi muda mrefu na usishangae moja ya wahusika ni friend wako. Pole mkuuBaada ya kumaliza kuangalia tuzo za muziki, nikalala naamka asubuhi hii nakuta wezi wametembea na Tv yangu.
Hapa natafuta nauli niende Bagamoyo au Pangani au Kwamsisi Tanga. Wezi wanarudishabsana maendeleo nyuma.
View attachment 2174025
View attachment 2174026
Alafu watalala mmoja wao ataiba tv tena hilo movie ndo linaanza
Pole ila sijaelewa picha ya mlango wako.je ni kweli mlango ni wa playwood? kama ni kweli nadhani watairudia hiyo subwoofer leoBaada ya kumaliza kuangalia tuzo za muziki, nikalala naamka asubuhi hii nakuta wezi wametembea na Tv yangu.
Hapa natafuta nauli niende Bagamoyo au Pangani au Kwamsisi Tanga. Wezi wanarudishabsana maendeleo nyuma.
View attachment 2174025
View attachment 2174026
Kuna watu mna fujo Sana😅😅Naona una matunda ya plastic hapo