What are some crazy interesting conspiracy theories?

Maziko waliyomfanyia ya kuzikwa baharini ni aina ya maziko ambayo uislam unayakubali if was the probably option available.

Umepata wapi hizi habari ?

Hivi ni kweli chaguzi zilikuwa zimeisha ? Mpaka akazikwa(kama unavyodai) kwenye maji ? Ufafanuzi juu ya hili tafadhali.
Sababu ya kumzika baharini ni kuepusha eneo lake la maziko to become a shrine or monument to him for other terrorists.

Kuna walio fanya makubwa na utukufu mkubwa mno kuliko huyo Usama, lakini wamezikwa.

Hii si hoja bibie.

Pili, kwanini iwe hivyo unavyodhani wakati mtu alikuwa katika mlengo ambao hata dini yake unaukataa ?
 
Ooooopss, my bad!
Akili ilishachoka nisamehe bure.
 
Unazungumzia habari gani? Kwamba mazishi ya kwenye maji ni aina ya maziko yanayokubalika kiislam au?

Ndio option iliyokuwa imebaki kwa sababu, kumzika eneo linalojulikana pangeleta mikusanyiko isiyo ya msingi and no country would take his body, providing a grave for followers to flock to, so they opted to bury him at sea.

Walitaka kuepusha hilo, unadhani ni option gani ilibaki mbali na kumzika baharini watu wasipopajua?
 
ka ushahidi basi mamyπŸ‘ΌπŸ‘ΌπŸ‘ΌπŸ‘Ό
 
Labda hawakutaka hata alama yake ibaki.
Na pengine wana picha ila hawajataka kuziachilia kwa sababu wanazozijua wenyewe.
Pangine waliona wafuasi wake wangeona hizo picha pangeinua mihemko isiyo ya lazima.
Pengine waliamua kutokuziachia ili wafuasi waendelee kuamini hajafa. Aaahhh hata sijui, ila nina imani wana sababu ya kufanya vile.
 
ka ushahidi basi mamy[emoji72][emoji72][emoji72][emoji72]
Ushahidi gani , wa mazishi ya baharini?
Si umesikia hamna picha jamani. Au maandiko yanayoonesha kwamba maziko ya baharini yanakubalika kiislam?
If yes, unaweza tuu ukagoogle kuhusu hilo maana sina ushahidi. Sijasoma popote kuhusu hilo ila nimeyasikia yakizungumzwa na hao hao waislam.
 
duh hii ngumu kumeza

Btw, tuachane nayoπŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘
 

Ndio nazungumzia hilo hilo kuzikwa mtu baharini.

Option ilikuwepo, ndio maana kuna watu kwa kupitia hoja hii, wanakataa juu ya kifo cha Usama na kuzikwa kwenye maji.

Swali kwanini Usama tu ? Usama mtu mdogo sana na wengi walikuwa wanampinga ila wachache sana ndio walio wanamkubali, kwa lipi wahofie kaburi lake lisijulikane ? Usama mtu mdogo sana.
 

"Osama ni mtu mdogo sana".
" wengi walikuwa wanampinga".
" wachache ndio walikuwa wanamkubali".

Come on, How can I take your question seriously?
 
Kwa hiyo kumbe nyumbani kwetu ni wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawajua watoto wabishi? Atasema MIMI nafagia vizuri, I know what am doing.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…