What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

Bado sijapata file lake. Kila nikimwita aje nimkague ananisemesha kimombo. Nshalipa ada kwa Ras Simba...muda si mrefu ntakuletea ripoti
Sawa babu, naisubiri hiyo report.

Huyu mtoto amesababisha mpaka siku hizi najifanya kusoma soma ovyo ili tu nielewe anachokiandika, ila shida iko pale pale.
Nyie wazee nyie...😂😂😂😂
 
Mkuu umenena vyema kabisa!

Nakubaliana na wewe, ila naomba kuongeza vitu japo ntatoka nje ya thread.

Nimeguswa na ulipomzungumzia masih dajjal. Hiki kiumbe Ni rahisi kukitambua.

1. Dajjal anasifa ya kuongea uongo. Hi ndo sifa kuu aliyonayo. Akikuonesha Moto Basi ujue huo sio Moto Bali Ni pepo, na akikuonesha pepo Basi ujue hiyo sio pepo Bali Ni Moto.

2. Dajjaal anatazama kwa jicho moja. Kwa maana jicho lingine Ni chongo. Hii ndio sababu akapewa jina la mfalme wa jicho moja. Hili jicho hutumika Kama nembo ya wafuasi wa dajaal. Ukiangalia kwenye noti ya dola ya US utaiona hii alama ya jicho moja.

3. Katika paji la uso wa dajjal kunamaandishi
كفر (kafir).

Hivyo Basi kwakutumia alama hizo utaweza kumgundua dajjal hatakama atajifanya kuwa masih issa (A.S)



Hii waitafsiri vipi?
Mfahamu Sananda na utengenezaji wa picha ya Yesu ili kumwandalia njia mpinga Kristo
Salute Comrades
Tunaishi katika dunia ambayo vitu ambavyo ni vyakweli vinaonekana ni Uongo (Conspiracy) na Vitu vya uongo vinaonekana ni Kweli. Lakini pia kuweka mahaba ya dini mbele kupita kiasi bila kufanya Uchunguzi

Sananda ni nani..?

Ni miongoni mwa wale malaika 200 waasi ambae atatumika kudanganya watu kua ni kristo. Kwa Waislamu wanamwita DAJAL.
Kuna picha ambayo inajulikana na wengi kama ni picha ya Yesu,ukweli ni kwamba picha hiyo inayodhaniwa kuwa ni ya Yesu sio kweli bali ni ya fallen angel mmoja anaefahaika kama Sananda na jina hili linajulikana kwa wafuasi wao na alishafanya kikao na wafuasi wake na akawapa maelekezo namna ya kufanya

Picha hii yenye sura ya mzungu mwenye ndevu nyingi na sura ya aina fulani imeshatangazwa sana na imeingia kwenye kumbukumbu za watu kwa kiwango cha kutisha na hata leo ukiwaambia huyu ni nani utasikia wakisema kwamba huyu ni Yesu

Mbinu hii ilianza zamani sana na kupewa baraka na makanisa ya Kikristo kufikia hatua ya kuwaaminisha watu kwamba huyu ni Yesu.Ndio maana akitokea mtu fulani ambae anakaribia kufanana na sura hiyo utasikia watu wakisema kwamba "anafanana na Yesu"

Utengenezaji wa Filamu ya Yesu (Jesus of Nazareth 1979) Brian Deacon.
Ni Filamu iliyo engenezwa mwaka 1979 ikionyesha maisha ya Yesu kristu ilitengenezwa na
John Heyman na kuongozwa na Peter Sykes na John Krish. Ilitengenezwa kupitia injili ya mtakatifu Luka. ilifadhiliwa na Campus Crusade for Christ bajeti yake ikiwa ni $6Mil. ilishutiwa Israel.
Project nzimma ilisimamiwa na Jesus Film Project ambayo ilikua chini ya Evangelical Organization.
Brian Deacon
ndie alikua mwigizaji mkuu kama Yesu.
Deacon alikua mwigizaji pekee aliyeshinda kwenye mchujo waigizaji 263 ambao walitaka kuigiza kama Yesu.

Sasa ipo hivi...
Leonardo da Vinci alimchora Caesar Borgia mtoto wa Papa Alexander 8 ile picha akailemba kidogo ikawa na mwonekano tofauti. Lakini ile picha hàkua amemchora Borgia Alikua kamchora Sananda. Brian Deacon kapita kwenye mchujo huo wa watu 260 kilichokua kinatafutwa ni mtu atakayefanana na ile picha aliyechora Leonardo da Vinci ambae ni Sananda mwenyewe. Sasa bahati ikaangukia kwa Deacon akafanyiwa na make up kidogo akawa amefanana na Sananda . Picha imechezwa na lengo lao limetimia. Leo hii mtu akiona picha ya Deacon atasema ni Yesu.
Lengo ni kwamba Watu tukalili kua yule tunayemwona kwenye picha tuseme ndie Yesu Tukishakua na Mentality hio ikifika ule wakati wa mpinga kristo/Dajal kuja duniani watu wengi watamfuata kwasababu watakua wamekariri kua ndie Kristo Masihi. na atakua na uwezo wa kutenda miujiza kama Yesu kristo.

Ndugu zangu hizi ni nyakati za mwisho, shika imani yako kishujaa usiyumbe yumbe wewe Mkristo.

Ahsanteni & Tchao.
-Vinci
 
Hello Guys,

There are so many conspiracy theories out there. Some of which are weird, interesting and some are stupid.

The most bizarre to me is the idea that, Birds aren’t real , they’re government spies, I mean they made up by government.

You see, they used to be until the U.S. government eradicated/killed all the birds (2001) in North America and immediately replacing them with identical, undercover surveillance drones in order to spy on its citizens . So these spies are now watching us.

And that when these birds sit on power lines they are simply using them as ‘charging ports’. Of course this makes no sense and hopefully they are not serious about this theory.

This one is weirdest, that Michelle Obama is actually a man named Michael and s/he murdered Joan Rivers.

Michelle had Joan Rivers assassinated because Rivers had proof that Michelle was a man.

The evidence that led them into this conclusion is that, Michelle shoulders are too wide to be female and the fact that she has muscles in her arms (Everybody has muscle tho). Also Barack accidentally call her Micheal in a speech.

There is even photographic evidence and videos out there.

There are so many conspiracy theories, I can't name them all, I will add more later maybe.

So what are some terrifying, crazy, interesting and most bizarre conspiracy theories in the world/you ever heard?.

Welcome guys.
G'day.
.......That Every POTUS being guarded by an alien and that during the end of 18century was established a strong agreement and alignment with foreign species from planet X, exchanging technology reseaching and developing various inventions....Marks the birth of Area 51.
 
Nachukizwa na wale wachungaji na mashehe waliokua wanapiga kelele kuhusu freemason. Wao kila kitu freemason mara usivae hiki, mara usiweke vidole hivi. Walivyo wajinga wanajifanya hawatumii vitu vya freemason halafu wanatumia Teknolojia ya hao wanaosema ni freemason kama vile Frequency, Waves, Wireless, Recording, CD nk nk. Katika kurekodi mahubiri yao

Sasa mtu kama huyu ni mpumbavu tu hutaki kutumia vitu vya freemason halafu unawahubiria watu na kurekodi kwenye CD zente Teknolojia ya Blueray ambayo imetoka kwa makafiri Marekani.

Ukiwa mjinga unakua mtaji wa kila mtu, Majamaa sijui waneishia wapi. Au Freemason wenyewe wamekwisha?
Pumzika kwa Amani Kanumba. Kifo chako ndio kilileta yote haya.
Swahili speaker

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah, ziko nyingi sana, ngoja nitaje chache.

1. Mtu kwenda mwezini.
2. Uwepo wa Aliens
3. Nadharia ya Evolution
4. Solar System
5. Time Travelling
6. The Big Bang Cosmology
7. Ukimwi ni Ugonjwa wa zao la Maabara. (Kwa ufupi hakuna mtu anae weza kutengeneza ugonjwa wala kutengeneza kirusi, na hatakuja kutokea).

Na nyingine kibao....
 
I wonder why these flat earthers think it would benefit NASA to lie about it. Why would they lie? It gets crazier.

Cc Zurri and REALITY.
Pili, kuna muda kutokujua sababu ni bora kuliko kujua sababu,lakini swali la msingi ni kuwa kwanini wanadanganye watu ? Hapa ndipo pa msingi, huko kwingine ni ziada na si jambo la msingi sana.
 
Nachukizwa na wale wachungaji na mashehe waliokua wanapiga kelele kuhusu freemason. Wao kila kitu freemason mara usivae hiki, mara usiweke vidole hivi. Walivyo wajinga wanajifanya hawatumii vitu vya freemason halafu wanatumia Teknolojia ya hao wanaosema ni freemason kama vile Frequency, Waves, Wireless, Recording, CD nk nk. Katika kurekodi mahubiri yao

Sasa mtu kama huyu ni mpumbavu tu hutaki kutumia vitu vya freemason halafu unawahubiria watu na kurekodi kwenye CD zente Teknolojia ya Blueray ambayo imetoka kwa makafiri Marekani.

Ukiwa mjinga unakua mtaji wa kila mtu, Majamaa sijui waneishia wapi. Au Freemason wenyewe wamekwisha?
Pumzika kwa Amani Kanumba. Kifo chako ndio kilileta yote haya.
Wamewaibia watu wa uswahilini pesa sana hasa buguruni,tandika, mwananyamala n.k kwa kuwauzia cd
 
Another one ni kwamba "we (humans) are prisoners and the earth is the prison, our ancestors commited crimes and were sent here.." the proof that supports this conspiracy is that our bodies are not compartible with life on earth thats why we get diseases also UFO ndio prison guards wanaokuja kutucheki kama tunaendelea vizuri huku..

Dimension of time ni different kati ya duniani na our mother (orign ) planet so wao wanaona kama wametufunga kwa miaka michache lakini kwa time ya duniani tupo kwa millions of years... siku kifungo chetu kikisha ndio siku ambayo christians wanareffer kama second comming ya messiah ambapo tutakuja kuchukuliwa na kupelekwa nyumbani kwetu ambapo hakuna magonjwa wala kifo sababu maisha ya huko ni compartible na miili yetu..
Kumbe tupo kifungoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2. Ukijinyoa nywele wewe mwenyewe utakufa haraka
Hizi zilikuwa busara za wazee, ili kumakinisha jambo na kulifanya kwa ufanisi mkubwa zaidi, kwa ufupi njia walizo kuwanatumia sio nzuri sababu huwajenga vijana bila kujua sababu, lakini kwa mfano kama huu ni kufanya usije kujiumiza au kuonekana kituko kimuonekanao, kama vile tulivyokuwa tunaambiwa ukifagia usiku unakimbiza au unafukuza RIZKI, lakini pale walikuwa wanatumia hekima kwa kulipa uzito jambo, kwani kufafia usiku ilikuwa inabakiza uchafu mwingi yaani kama hujafagia vile.

Nachokiona mimi bora tu wangekuwa wana tuchana wazi wazi, kwamba usifagie usiku, sababu ufanisi wa jambo hilo unakuwa mdogo.
 
Mandela Effect ndio kitu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
The Mandela effect is, depending on who you ask, either a weird phenomenon where large groups of people misremember the exact same given thing in the exact same way, or the pseudoscientific belief that some differences between one's memories and the real world are caused by changes to past events in the timeline. Many proponents of the latter believe it is caused by accidental travel between alternate universes, although some others propose that history has been deliberately altered after the fact by malicious extradimensional beings within the same timeline.
It was named after Nelson Mandela, whom some people erroneously believed to have died in prison in the 1980s.
 
More and more examples on Mandela Effect,
1584025316402.png

Nelson Mandela's Death
Let's start with the reason we're all here. Nelson Mandela, who this theory is named after, died in 2013. However, countless people distinctly remember him dying in prison in the 1980s. But his death isn't the only example of a Mandela Effect. We have been wrong about so many dates, details, and more. Keep going for more commonly misremembered moments in history
 
The Mandela effect is, depending on who you ask, either a weird phenomenon where large groups of people misremember the exact same given thing in the exact same way, or the pseudoscientific belief that some differences between one's memories and the real world are caused by changes to past events in the timeline. Many proponents of the latter believe it is caused by accidental travel between alternate universes, although some others propose that history has been deliberately altered after the fact by malicious extradimensional beings within the same timeline.
It was named after Nelson Mandela, whom some people erroneously believed to have died in prison in the 1980s.
I've got you😜😜😜😜
 
Back
Top Bottom