Unajua best Mark anapigwa vita sana na wayahudi wenzake na far rights. Kwa wayahudi wanalaani kwanini akuoa myahudi mwenzake kaenda kuoa mchina wa vietnam. Pia kwasababu abaegemea mrengo wa kushoto far rights wanammaindi kichiYes. Balaa tupu. Marc sijui kapatwa na nini?
Duuuuh Ila inadhibitisha jinsi gani tulivyo walevi wa Mitandao Yani sipati picha kila mtu anavyolalamikaMark Zuckerberg. Ndo shida ya monopolisation. Bora kina Snapchat walikataa alipotaka kuwanunua. Kama ninamuona Jack wa Twitter anavyofurahia.
😳 Mbona jina si langu?Mkuu unajitahidi kulalamika na kutuwakilisha.
Thread 'TIGO PESA mnavyofanya si haki hata kidogo' TIGO PESA mnavyofanya si haki hata kidogo
Thread 'Tanesco, huduma ya Luku imekwama tena leo' Tanesco, huduma ya Luku imekwama tena leo
Ila Wana Yanga tunaomba utupumzishe
Thread 'Mo Dewji, puuza wanaokusakama mitandaoni, hao ni mashabiki wa Yanga wana wivu wa mafanikio ya Simba' Mo Dewji, puuza wanaokusakama mitandaoni, hao ni mashabiki wa Yanga wana wivu wa mafanikio ya Simba
Max melo tunajivunia product zetu za nyumbani na JF idumu [emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzangu nimeifanya simu style zote Ila waaapi. Ndo kupata akili kusema ngoja nijaribu jf ikakubali hukuNmerestart simu nikijua network imecheza lakin cha ajabu huku naingia vizuri
Mawasiliano ndugu. Mara ya mwisho ni lini umenunua stamp posta ?Duuuuh Ila inadhibitisha jinsi gani tulivyo walevi wa Mitandao Yani sipati picha kila mtu anavyolalamika
Acha tukae hata mwaka bila hizi mambo bora tubaki na JF yetu, mbona zamani tuliweza barua ulinitumia posta [emoji16], msije na vihoja vyenu vya utandawazi ni uzwazwaNimefuatilia nikaona statement wanafix then watatoa na updateView attachment 1962846
Ndio maaaaanaaaa! Nimehangaika sana!Hili tatizo la WhatsApp, Facebook na Instagram kushut down kwa Mda wa lisaa hadi sasa litawahathiri sana wafanyabiashara wa Online
Hadi sasa ijafahamika tatizo aswaa la mitandao hiyo kuzimwa duniani kote
Kuna watu wamereset hadi simu wakijua maybe ni Network au cm imearibika ila laaa hashaa Apps zote zimeshut down
Na hapa ndiyo pa kufanya haraka kushukaDunia imesimama aise.
Yowhtsapp pia haipo.Tunaotumia Ghost watsapp tunawashangaa
Labda wamefiwaNa Instagram pia
Sawa vita ni vita muraUnajua best Mark anapigwa vita sana na wayahudi wenzake na far rights. Kwa wayahudi wanalaani kwanini akuoa myahudi mwenzake kaenda kuoa mchina wa vietnam. Pia kwasababu abaegemea mrengo wa kushoto far rights wanammaindi kichi
Nimekosa hili picha ulinitumiaYuko kazini View attachment 1962869
Yowhtsapp pia haipo.
Na Instagram pia
Imebakia JF tu, huenda wasiojulikana wametia mkono kama October 2020Yap, it's Down Worldwide!