Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
Sababu yaweza kuwa nini uncle?
Mi nikajua sumu mbovu bwasheee
Sijaelewa tafadhali.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hasara big time mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapa Kuna mtu akajua kifurushi Cha siku hakifai akaunga Cha mwezi lakini Wapi holaaaa
We jamaa umebunu mbunu." Sio umebuni mbinu" Soma hivyohivyoDuh mb zetu itabidi ziende kwenye xvideo ,tusipate hasara
Au tatizo hili ninalo mimi tu?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ehh yani noma sana umbea siku hizi umekua ajira so unatufanya vibayaTanzania si Unaelewa Kwa Umbea tunaongoza[emoji23][emoji1787][emoji1787]...
Tatizo sio la makongolosi ni la dunia nzima, wakuzimie wewe makongolosi wanataka kukunyima nini [emoji38][emoji38]Hata huku makongolosi naona kuna hilo tatizo
[emoji23][emoji23]Hiki kingereza ni cha kusoma au cha kujifunza? (ras Simba) nk