WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

Nimehangaika mno yaan daah
 
Safi sana.
Dunia tushaizoea sana kwakuwa mambo mengi ni yaleyale.
Hii mitandao ikizimwa kwa mwezi mmoja basi na wengine watainuka na kuwa maarufu.
Waizime tu hata jumla
 

Ata ukiwasha VPN wap kitu kinagona kuingia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1531]
 
Nimebadilisha na sim card nikanunua na kifurushi
Kumbe ni wenyewe huko

Kaazi kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…