Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
masaa 3 yashapita sio nusu saa mzee ni tangu saa 12 na nusu zilianza kusumbuaInakwenda nusu saa sasa fikiria hasara walioingia jamaa kwa muda huo.
masaa 3 yashapita sio nusu saa mzee ni tangu saa 12 na nusu zilianza kusumbua
Heeeem ngooooja kwanza.Same here it could not to retry
Group letu tumehamishia telegramOutage yake ya leo itasababisha kurise kwa other social media.
Group letu tumehamishia telegram
sivyo unavyofikilia mkuu haya mambo GOOGLE FACEBOOK WHATSAAP and COHua nawaza sana.. kwa wale ambao tunafanya backup ya mambo yetu muhimu kwenye GoogleDrive, dropbox, etc.. kama server zao zikazingua mazima, Mfano server za Google Sjui ITAKUWAJE????
Kanipigia simu ananiuliza nifanyeje... nikamwambia tu weka bando pigia mmoja baada ya mwingine... ndio gharama ya kukubali kuwatumikia wananchi pale serikali kuu inapokutosa hahahaWee acha tu
Mazoea yana tabu yaani kutumia direct line huwa nasahau kabisa nimezoea Whatsaap tu
Sasa leo ni mwendo wa Simu za kawaida tu
Ila huyo muweka hazina mbona yamemkuta [emoji24][emoji24]
Sasa nikerebishe kwa kiswahili au kwa kingereza?Nikerebishe mwalimu wangu nilikua najaribu ila haikukubali kujaribu tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefuta pilau nikijua storage
Ila hii yote ni vita ya mabeberu dhidi ya uchumi wetu wa kati. Angekuwepo Magufuli yasingetokea haya. Kidume kiliishinda korona itakuwa WhatsApp heheheheeeeeeee