Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?


Kwa east Africa kwa kadiri ya the African cradle, ni Kenya mkuu
 

tnega???
 
Ili Intel iwe bora lazima taifa lisiwe tegemezi sasa mataifa yote ya Afrika ni vibaraka wa wadhungu unadhani ubora utapimwaje. Sema nani bora kwa kumtumikia boss wake. Us na Uk wakisema wote somali hakuna anayebisha.Mfano mzuri alipokuja yule brother aliyepanda Air force kuja huko tz si muliona balaa lake mixer dharau Us marine walitapakaa kama wapo Afghan.
 

Acha kuongelea history, tiss imeoza now na recruitment yao sijui ikoje sikuiz wanachukua watu wajinga wajinga wanaojisifia mtaani,my late father was one of them ila nilikuja kujua baada ya kufariki.
 

Hehehehehe watu tunajichekesha na kucheka
wenyewe,tiss hii hii??over my dead body
 
kuna sehemu gani imeandikwa mtu au rais asinunue nyumba kokote duniani?
kama hakuna evidence kuwa kala rushwa sasa whats the big deal

au kwa sababu rais MMAKONDE?

Kama hutak kutoa informetion wengine wajue upo if kufanya nn??au umekuja kupiga porojo??
 

Sidhan kama unakijua unachokisema
 
Mambo mengine ni siri za agency husika na usidhani utafahamu kila kitu kinachofanya ni mwiko. Maana information zikiwa nje nje hata enemies watapata access ya kuzifikia ndio maana wanaitwa secret agencies. Tusijadili vitu tusivyovijua kiuhalisia zaidi ya kuona kwenye movie za intelligence and surveillance
 
Kwahiyo wamemuwekea nanihii mabere marando ili asitangaze matokeo ya urais?
 

Nadhani unapolala na kuamka bila kusikia bomu wala risasi jua kuna watu hawalali...peace is protected wewe lowasika tuu
 
Wakubwa hebu tuwe na akili ya kujiongeza japo kidogo, yaani nashindwa kuelewa kabisa uzalendo katika taifa hili umepotelea wapi! Jamaa amewatekenya kidogo tu na kaswali kake ka ajabu ajabu lakini watu wameropoka mpaka inatia kinyaa bila kujua muuliza swali ana nia na madhumuni gani. Hebu vijana wenzangu tuwe na mitazamo chanya na tuongeze umakini na kuzidisha uzalendo ili kulilinda taifa letu. Kuongea sana hakudhihirishi kiwango cha ufahamu wako, bali inaweza ikawa ni kipimo jinsi gani ulivyokuwa zuzu. Mungu ibariki Tanzania
 

hahahaha ndio maana wanaimba ccmtehetehetehe
 
nipo serious!

Mkuu soma..weka plan Z kwenye hao. Hawana formula kuchukua. Kazana na maisha/ masomo yako. Ishi maisha yako sio kuigiza. Kama wakikupenda watakuona. All in all ishi maisha yako usiigize. Kuwa mzalendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…