Kulamba makalio mwanaume mwenzio ?? is this what you call reality? wazazi wako wakijua ujinga unao fanya watajutia kupoteza pesa kukusomesha hadi wanaaga dunia , bora wangeongeza idadi ya ng'ombe ziziniToughest job is to deny the reality
nilikuwa naisaka hii clip niiwekeThere is only one truth and that truth is with President Magufuli
View attachment 1450331
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushindi huo maana yake ni nini hasa? Kwamba Rais Magufuli amefanikiwa kudhiti korona au kudhibi athari ya mlipuko kiuchumi?WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu ‘lockdown’
Na Mwandishi Wetu
GENEVA, Mjumbe Maalum wa Shirika la Afya Duniani (WHO) na Mkurugenzi Mkuu wa Convid-19, Dkt.David Nabarro amependekeza kuwe na jamii ambayo watu watakuwa tayari kuuzoea na kuishi na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) badala ya kuendelea kuwekewa zuio la kukaa ndani (lockdown) au kutoka kwa mashariti, kwani hatua za awali zinaonyesha hakuna chanjo au tiba ya virusi hivyo.
Wachambuzi wa masuala ya afya wameueleza mtandao wa TimesMajira Online kuwa, hatua hiyo ni ushindi mkubwa kwa misimamo ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo tangu awali ilikataa kuweka zuio la watu kukaa ndani, ikiwa ni agizo la Rais Dkt. John Magufuli huku akiwasisitiza wananchi kuzingatia miongozo yote inayotolewa na Serikali ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuvaa barakoa, matumizi ya vitakasa mikono na kuepuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima.
Dkt.Nabarro ametoa taarifa hiyo kupitia akaunti yake ya Twitter akisema kwamba kuendelea kuwawekea watu zuio, kunaweza kuwaumiza zaidi kutokana na athari zake kwa watu na uchumi wa mataifa kwa jumla.
“Virusi hivi vitakuwa na sisi kwa siku za usoni inayoonekana na hakuna mtu anayetaka kuwa katika zuio,kama tulivyo na wakati huu,”amesema.
Fuata link ifuatayo for more information.
WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu 'lockdown' - TimesMajira
Mods hawa hata mimi nilianza kutowaelewa muda mrefuHii mada imekuwa ikiondolewa kwenye Jukwwa la siasa kwa muda wa siku kadhaa lakini wameshindwa wamekubali iwepo. JF wacheni umangimeza hasa baada ya kununuliwa.
Kwako reality mpaka isemwe na Trump??Kulamba makalio mwanaume mwenzio ?? is this what you call reality? wazazi wako wakijua ujinga unao fanya watajutia kupoteza pesa kukusomesha hadi wanaaga dunia , bora wangeongeza idadi ya ng'ombe zizini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu unakunya akili na kubakisha kinyesi, sikushangai kutojua mitaaMtaa upi huo?
dunderhead..taja jina la mtaaKwa sababu unakunya akili na kubakisha kinyesi, sikushangai kutojua mitaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hizo facts tuzione!!Tutampamba with facts my friend
Good jobNkuruzinza has expelled WHO out Bujumbura for good
Andiko langu limeelezaWeka hizo facts tuzione!!
Umesema kasifiwa na W.H.O. Au wewe ndiye who na siyo W.H.O tunayoifahamu sisi wengine??Andiko langu limeeleza
Mwenye "ukili" bila ya kuitaja CHADEMA huna raha kabisa!!
Sio kusiafu ni ukweli tatizo hupendi kweliIbada ya kusifu na kuabudu watawala inaendelea
Mtampamba kwa vile mnajua ni mbovu! Kibaya hujitembeza kizuri hujiuza chenyewe!
Sio wakenya tu,hata hapa kwetu wapo walio jilockdown binafsi je nao watakaa mpaka lini?Tuone sasa wakenya watafanyaje na kiherehere chao.
Eneo gani wameitaja tanzania?Kwanini taifa hili limejaa Negative peoples kiasi hiki..? Yaani hamtaki kusikia lolote zuri toka nchini kwetu.?
Upuuzi wenu wa vyama msiuhusishe na nchi yetu.