Ushindi huo maana yake ni nini hasa? Kwamba Rais Magufuli amefanikiwa kudhiti korona au kudhibi athari ya mlipuko kiuchumi?
 
Tatizo Baba alianza kutenga watoto kwa nguo wanazovaa wakati wote ni watoto wake wa kuzaa.

Baadae Baba akaanza kuwafanyia kila aina ya ukatili watoto asiowapenda.

Sasa watoto hawampendi tena Baba na wanatamani afe. Kuskia hivyo watoto pendwa wanadai wenzao wana laana...

Mwambie Baba asitenge watoto, Mwambie Baba kuwa akiingia jambazi nyumbani asikimbie kujificha chumbani na kuacha vita iendeshwe na watoto huku yeye akitoa maagizo tu...

Ukiwapenda watoto wako...watajua,
Ukiwachukia watoto wako...watajua,

Za kuambiwa changanya na zako

In Vino Veritas (In Wine Lies the Truth)
 
Nkuruzinza has expelled WHO out Bujumbura for good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…