WHO: Corona Virus inaweza isiondoke
WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu ‘lockdown’

Na Mwandishi Wetu

GENEVA, Mjumbe Maalum wa Shirika la Afya Duniani (WHO) na Mkurugenzi Mkuu wa Convid-19, Dkt. David Nabarro amependekeza kuwe na jamii ambayo watu watakuwa tayari kuuzoea na kuishi na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) badala ya kuendelea kuwekewa zuio la kukaa ndani (lockdown) au kutoka kwa mashariti, kwani hatua za awali zinaonyesha hakuna chanjo au tiba ya virusi hivyo.

Wachambuzi wa masuala ya afya wameueleza mtandao wa TimesMajira Online kuwa, hatua hiyo ni ushindi mkubwa kwa misimamo ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo tangu awali ilikataa kuweka zuio la watu kukaa ndani, ikiwa ni agizo la Rais Dkt. John Magufuli huku akiwasisitiza wananchi kuzingatia miongozo yote inayotolewa na Serikali ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuvaa barakoa, matumizi ya vitakasa mikono na kuepuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima.

Dkt.Nabarro ametoa taarifa hiyo kupitia akaunti yake ya Twitter akisema kwamba kuendelea kuwawekea watu zuio, kunaweza kuwaumiza zaidi kutokana na athari zake kwa watu na uchumi wa mataifa kwa jumla.

“Virusi hivi vitakuwa na sisi kwa siku za usoni inayoonekana na hakuna mtu anayetaka kuwa katika zuio,kama tulivyo na wakati huu,”amesema.

Fuata link ifuatayo for more information.

WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu 'lockdown' - TimesMajira
Pumbaff

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni upumbavu wa hali ya juu kuamini lockdown ni ya milele.
Kunawakati nilikua mgumu sn kuelewa maamuzi ya raisi wetu kukataa lockdown lakini kadri muda ulivyokuwa unaenda niliweza kumuelewa. Nchi za wenzetu walioamua kutumia njia hiyo ya lockdown mwishowe wameshindwa wameamua kurudi mitaani kuchapa kazi licha ya kuwepo na maambukizi na vifo vitokanavyo na covid-19. Tukisema kweli kuutokomeza huu ugonjwa sio jambo la muda mfupi sasa tujiulize hv tunaweza kuweka nchi kwenye total lockdown kwa miezi tano sita kweli. N jambo gumu sn. Big up raisi wetu kwa maamuzi magumu na ya busara.
 
Mh Mtukufu KUB, atangaza amri ya watoto wake kususia Bunge wakajifungie majumbani kwao, kulinda afya zao kwa siku 14, na baada ya hapo warudi Bungeni!!!! Je, walioachwa wakiendelea na Bunge wameudhibiti ugonjwa? Akili za kitoto hizo.
Umewahi kusoma epidemiology of diseases, particularly infectious diseases?
 
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Afya Duniani ‘WHO’ amesema #CoronaVirus wanaweza wakaendelea kuwepo na kujiunga na virusi vingine vinavyoendelea kuua watu duniani

Amesema hafananishi virusi hivyo ila ni vyema kujua uhalisia, kwa kuwa hakuna anayeweza kutabiri siku ambayo ugonjwa huo unaweza kuondoka

Amesema chanjo inaweza kupunguza madhara ya #CoronaVirus, lakini chanjo inapaswa kuwepo na kuwa na ufanisi wa hali ya juu na kupatikana kwa kila mtu duniani

======

The new coronavirus may never go away and may just join the mix of viruses that kill people around the world every year, Dr. Mike Ryan, executive director of the World Health Organization health emergencies program, said Wednesday.

"This virus just may become another endemic virus in our communities and this virus may never go away. HIV hasn’t gone away," Ryan said.
"I’m not comparing the two diseases but I think it is important that we’re realistic. I don’t think anyone can predict when or if this disease will disappear," Ryan added.

With a vaccine, "we may have a shot at eliminating this virus but that vaccine will have to be available, it will have to be highly effective, it will have to be made available to everyone and we’ll have to use it," Ryan said. "This disease may settle into a long-term problem or it may not be."

Yet the future of coronavirus does not have to be all doom and gloom, according to WHO infectious disease epidemiologist Dr. Maria Van Kerkhove.

"The trajectory of this outbreak is in our hands," Van Kerkhove said during Wednesday's briefing.

"The global community has come together to work in solidarity," Van Kerkhove said. "We have seen countries bring this virus under control. We have seen countries use public health measures."

WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus echoed Van Kerkhove's sentiments on Wednesday and added, "We should all contribute to stop this pandemic."
Siku hizi hata WHO wanashiriki kwenye udaku!Kweli dunia imeisha.Hivi na wewe uliyeleta taarifa hii umejiuliza wamejuaje,au umebeba tu taarifa nzima nzima?
 
Magufuli is hitting headlines world wide,watch this?Ziko nyingi mno lakini hii zinatosha.Asante JPM umeiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia.
 

Attachments

  • VID-20200514-WA0000.mp4
    4.9 MB
  • IMG-20200515-WA0020.jpg
    IMG-20200515-WA0020.jpg
    16.7 KB · Views: 1
  • IMG-20200515-WA0015.jpg
    IMG-20200515-WA0015.jpg
    12.7 KB · Views: 1
  • IMG-20200515-WA0016.jpg
    IMG-20200515-WA0016.jpg
    13.8 KB · Views: 1
  • IMG-20200515-WA0017.jpg
    IMG-20200515-WA0017.jpg
    11.8 KB · Views: 1
  • IMG-20200515-WA0018.jpg
    IMG-20200515-WA0018.jpg
    11.5 KB · Views: 1
  • IMG-20200515-WA0019.jpg
    IMG-20200515-WA0019.jpg
    12.2 KB · Views: 1
  • IMG-20200515-WA0010.jpg
    IMG-20200515-WA0010.jpg
    8.6 KB · Views: 1
  • IMG-20200515-WA0011.jpg
    IMG-20200515-WA0011.jpg
    58.3 KB · Views: 1
  • IMG-20200515-WA0008.jpg
    IMG-20200515-WA0008.jpg
    9.7 KB · Views: 1
  • IMG-20200515-WA0013.jpg
    IMG-20200515-WA0013.jpg
    19.3 KB · Views: 1
Umepitia hata hiyo link?
Ina shida gani hiyo link,ni uchama,uzandiki na wivu tu,hamna lolote.Kila jambo jema mnalipaka matope,ifike mahali muone aibu.Ndio maana watu wenye akili wanawadharau.
 
Kwani mwamba ana nyemelezi? Si alikuwa anapigaga mpaka pushapu na kuruka kutoka juu ya gari enzi zile?
Rais wa TWITA ndio amesema ana nyemelezi na pia DADA wa TAIFA alisema ana KIBETRI kwenye Moyo.
 
Ni upumbavu wa hali ya juu kuamini lockdown ni ya milele.
Lockdown inatakiwa iwe ya muda gn lamda hebu tuekeweshe. Coz km ni ya mwezi au miezi miwili wote walioaply hiyo njia wamefeli. Au lamda utusaidie ni nchi gan iliyofanikiwa kuutokomeza korona kwa lockdown
 
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Afya Duniani ‘WHO’ amesema #CoronaVirus wanaweza wakaendelea kuwepo na kujiunga na virusi vingine vinavyoendelea kuua watu duniani

Amesema hafananishi virusi hivyo ila ni vyema kujua uhalisia, kwa kuwa hakuna anayeweza kutabiri siku ambayo ugonjwa huo unaweza kuondoka

Amesema chanjo inaweza kupunguza madhara ya #CoronaVirus, lakini chanjo inapaswa kuwepo na kuwa na ufanisi wa hali ya juu na kupatikana kwa kila mtu duniani

======

The new coronavirus may never go away and may just join the mix of viruses that kill people around the world every year, Dr. Mike Ryan, executive director of the World Health Organization health emergencies program, said Wednesday.

"This virus just may become another endemic virus in our communities and this virus may never go away. HIV hasn’t gone away," Ryan said.
"I’m not comparing the two diseases but I think it is important that we’re realistic. I don’t think anyone can predict when or if this disease will disappear," Ryan added.

With a vaccine, "we may have a shot at eliminating this virus but that vaccine will have to be available, it will have to be highly effective, it will have to be made available to everyone and we’ll have to use it," Ryan said. "This disease may settle into a long-term problem or it may not be."

Yet the future of coronavirus does not have to be all doom and gloom, according to WHO infectious disease epidemiologist Dr. Maria Van Kerkhove.

"The trajectory of this outbreak is in our hands," Van Kerkhove said during Wednesday's briefing.

"The global community has come together to work in solidarity," Van Kerkhove said. "We have seen countries bring this virus under control. We have seen countries use public health measures."

WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus echoed Van Kerkhove's sentiments on Wednesday and added, "We should all contribute to stop this pandemic."
Mkuu huu ni udaku na fearmongering on the part of the WHO of the highest order.It is unprecedented. Shirika lililopewa jukumu la kulinda afya za watu linachangia kuharibu afya zao kwa kuwaletea hofu,it should go.Hivi niamini kwamba WHO haifahamu athari za hofu kweli,no ni makusudi,tena yale yale ya the Deep State a.k.a.NWO.Statements kama hii>The World Health Organization’s head of health emergencies said the coronavirus causing Covid-19 could become a long-term threat to be managed, not one that can be eradicated< ni luciferian na statement ambayo inaleta hofu kwa watu,na kiukweli haipaswi kutoka WHO.Kwanza uhakika huo wameupata wapi?
 
hivi virus wanasema vimetengenezwa kwenye maabara
hivi haiwezekani nchi husika kuwajibishwa kwa hili?
mbona nchi nyingine zenye nukes zinapigwa vita?
hizi biological weapons ni ruksa kutengeneza sio
 
Shirika la afya duniani limekiri kupitia mkurugenzi wake mtendaji ( Executive director) kuwa ugonjwa huu wa corona haujulikana utaisha lini hivyo ni muhimu kujifunza kuishi nao

Rais Magufuli aliitoa kauli hii mapema kabisa akilihutubia Taifa la Tanzania kuwa tuondoe hofu na huu ugonjwa tutaishi nao kama magonjwa mengine

Tunampongeza kwa hilo

Hata hili la kufunga mji kuna siku tutakuja kumkubali hapa JF

Tupishane kwa hoja na sio kwa vyama

Video hii hapa
 
Hata betting inalipa pia@Unforgetable

[emoji2021]Manners Maketh Man[emoji2021]
 
Akitoka MBOCHI akarudi kuendelea kukagua miradi kama kawa hapo ndipo hio kauli ya WHO itakua imeeleweka,ila bila hivyo bado hakijaeleweka.
 
Back
Top Bottom