"Has left been OFFICIALLY supported by WHO'

The Official note or release from WHO for endorsement of Magufuli's best response plan towards the pandemic is no where to be found in your eight paragraphed topic!

I was about to ask the same thing...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Upuuzi mtupu
 
Wewe mbona hujapukutika? Una ndugu yako wa karibu kapukutika? Tuambie alivyopukutika na majina yake na alipokuwa anaishi tuhakikishe? Bila hivyo huaminiki ni nyie mnaochimba makaburi usiku na kupiga video kisha kurusha mitandaoni.
Kama watu wamekufa wengi na ugonjwa huu haiwezekani jamaa zako wasife. Je wamekufa?
 
"Has left been OFFICIALLY supported by WHO'

The Official note or release from WHO for endorsement of Magufuli's best response plan towards the pandemic is no where to be found in your eight paragraphed topic!
Usishangae limekurupuka tu bila kusoma content kwakua tu ameona jina Magufuli
 

Kwa hili mzee baba anahitaji certificate of appreciation sema mabeberu yatabana sababu mzee ni kichwa
 
Mkuu vipi Nicaragua,Tajikistan, Turkismania,Lesotho,Burundi na Belarus?
Wabongo wanaijua Bongo tu basi.
 
on the right path...aaah
He went further- alienda mbali aah
Good lesson for Africa...aaaah
He refused to copy and pasting..
Wazungu wa W.H.O Kiingereza kinawasumbua sana.
 
Mbona hapo TanZania haijatajwa? Au unatuonaje yaani?

Pumbavu
Hata kama Tanzania haikutajwa kuna record kwamba rais wa Tanzania JPM aliwasihi Watanzania kwamba waishi na ugonjwa wa corona kama wanavyuishi na ugonjwa wa ukimwi akatoa kionjo aliposema hata watu sasa wanaenda kuchumbia wachumba wenye ukumwi. Habari hii imfikie Askofu aliyefunga makanisa yake.... dunia yote sasa inafunguliwa na kuku wa kienyeji wanatoka nje.
 
Mtampamba kwa vile mnajua ni mbovu! Kibaya hujitembeza kizuri hujiuza chenyewe!
Mh Mtukufu KUB, atangaza amri ya watoto wake kususia Bunge wakajifungie majumbani kwao, kulinda afya zao kwa siku 14, na baada ya hapo warudi Bungeni!!!! Je, walioachwa wakiendelea na Bunge wameudhibiti ugonjwa? Akili za kitoto hizo.
 
Na tumeongoza Pia kwa vifo Africa Vifo 1500+
Leo nimemuelewa sana mwl. Julius Kambarage Nyerere aliookuwa anasisitiza umoja, upendo na mshikamano.

Kuna baadhi ya wenzetu humu ni wapuuzi isivyo kawaida mtu kama Technically huyu bila shaka anahitaji msaada wa kisaikolojia maana ana mawazo hasi pekee juu ya Tanzania.

Mwanzo alihitaji sana corona ifike Tz,
Leo anatwambia tusisahau kusema vifo ni 1500+, kwani wakati huu wa Corona vifo vyote vitokanavyo na magonjwa mengine vilipigwa pause..!!?
Kama watu 1500+ wangekufa kwa corona na wengine 1600+ wakafa kwa magonjwa mengine mbona kila pahala tungelipita na kusikia vilio tu..!?

Technically nenda kwa wataalamu wa saikolojia wakusaidie kuiondoa chuki iliyojengeka kwenye fikra zako hii itakusababisha siku moja kulivaa bomu na kujitoa muhanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia sahihi ya kupambana na janga ni la kijamii zaidi kuliko Serikali. Wajibu wa Serikali ni kuielimisha jamii athari zitokanazo na janga na mbinu za kukabiliana na janga hilo kupunguza, na ikiwezekana kuupuka athari hizo. Mkakati wa aina hii ni sawa na kwenye uwanja wa vita ambapo ushindi hutegemea medani sahihi za kivita na siyo silaha peke yake. Kuwaamru jamii kujifungia ndani ni woga wa mtawala na dharau kwa jamii.

Tanzania bila COVID-19 yawezekana. Timiza wajibu wako kwa maamuzi sahihi kuhusu uhai wako.

JIKINGE UMKINGE JIRANI (mtu aliye karibu nawe)

JILINDE UMLINDE MPENDWA WAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…