Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
can be seen by true GTs"Has left been OFFICIALLY supported by WHO'
The Official note or release from WHO for endorsement of Magufuli's best response plan towards the pandemic is no where to be found in your eight paragraphed topic!
Ndio sisi...kuna shida?Wazee wa propaganda
Taarifa umeipata wapi mkuu?Na tumeongoza Pia kwa vifo Africa Vifo 1500+
Tuone sasa wakenya watafanyaje na kiherehere chao.Kwa hiyo watakaa lockdown mpaka dunia iishe?
Warue, ushirikina hujaacha tu
Tutampamba with facts my friend
In a reponce to emergency the first step is to protect the Team leader and all think tanks.
Mkuu wewe ulidhani lockdown ni ya muda wote?kwamba ukiiweka Leo hutaitoa hadi Yesu arudi?Kunawakati nilikua mgumu sn kuelewa maamuzi ya raisi wetu kukataa lockdown lakini kadri muda ulivyokuwa unaenda niliweza kumuelewa. Nchi za wenzetu walioamua kutumia njia hiyo ya lockdown mwishowe wameshindwa wameamua kurudi mitaani kuchapa kazi licha ya kuwepo na maambukizi na vifo vitokanavyo na covid-19. Tukisema kweli kuutokomeza huu ugonjwa sio jambo la muda mfupi sasa tujiulize hv tunaweza kuweka nchi kwenye total lockdown kwa miezi tano sita kweli. N jambo gumu sn. Big up raisi wetu kwa maamuzi magumu na ya busara.
Vipi kafa mama yako au bibi yako?Na tumeongoza Pia kwa vifo Africa Vifo 1500+
Wakati wa operation freedom Iraq waliokuwepo frintline sio kina Bush!!CCM imetelekezwa kwani Mwenyekiti na Katibu Mkuu wameikimbia corona; wanachungulia tu kutoka mafichoni. Hivyo hivyo
na serikali ya CCM nayo imetelekezwa na Kiongozi wake Mkuu wake, Rais, naye kakimbia; anaichungulia tu corona kutoka mafichoni. Matokeo yake ni kwamba na wananchi, Watanzania, nao wametelekezwa na wameachwa wapuputike tu kama majani ya miti yaliyonyauka.