Kama kuna kitu ananifurahisha sana mhe rais basi ni issue hi ya Corona; hu ugonjwa upo na unaua sana but kwa huku kwetu unaua basi sio kiviiile kama huko kwenye hizo nchi za weupe; huko kwa weupe, corona imeua na inaua sana hadi sasa hivi, swali kwanini msukumo wa chanjo unaelekezwa sana Africa ambako hakuna athari kubwa sana kama huko kwao?
Ebora iliua sana Guine na Congo but je WHO walipiga kelele kama sasa? Jibu ni HAPANA, why hawakupiga kelele kama sasa? Ni jibu lipo wazi, ugonjwa umeua weusi na sio weupe, Ebora ingekua imeanzi kwao, kelele nyingi sana zingepigwa but ilianzia Africa, haikufika Ulaya na Marekani na labda China na Japan. Napenda pia msimamo wa rais, rais anao msimamo wake na haangalii wengine wanacho kisema.