Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Sisi tunawaza tuu uchaguzi serikali za mitaa na kuombana misamaha.
Tulio wapa madarakani wapo kama mizigo tuu (kwa sauti ya Kinana) hawezi hata kujisogeza zaidi ya kupiga makofi kwa mteuaji. Hapo subiri Jiwe aite PC na kuelezea hatari ya ugonjwa huo ndio utaona PM, Ummy, maRC na maDC na kila mtu kuhaha huku wakimsifia Rais kwa kujali maisha ya watu.
Wako kama nini sijui
Tulio wapa madarakani wapo kama mizigo tuu (kwa sauti ya Kinana) hawezi hata kujisogeza zaidi ya kupiga makofi kwa mteuaji. Hapo subiri Jiwe aite PC na kuelezea hatari ya ugonjwa huo ndio utaona PM, Ummy, maRC na maDC na kila mtu kuhaha huku wakimsifia Rais kwa kujali maisha ya watu.
Wako kama nini sijui