Who is Fatma Karume? | Fatma Karume ni nani?

Hela , kitu pesa , angekuwa hohehahe kama akina sie azingeyafanya hayo
 
Umejibu lkn hujaelewa mleta mada alichouliza ingekuwa upo kwenye chumba cha mtihani basi ungeruka na zero

Ni kweli nakubali hapo ningekula Zero unajua ilikaa kama Tundu Lisu ana undugu na huyo dada sema na huyu Ngosha anatupagawisha mpaka tunakuwa out of topic nakubali kwa mikono miwili hii 'Zero ' yangu, no hard feeling
 
anajua kila kitu huyo, ila hataki kuamini kwamba Lissu anaweza kutetewa na Wakili msomi tena mtoto wa Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzaibar, pia mjukuu wa Rais wa kwanza wa Zanzabar.
HUYU NI ANATAKA MJOMBA WAKE MAALIM SEIF ...ili warudishe UFALME...
 
Sigara wanaruhusu mahakamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusoma raha.
Anatembelea taaluma yake

May Allah bless Me and You
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…