Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Ulikuwa na hoja ya msingi ya kumjibu Zito ila nadhani hukuelewa au hata kama umeelewa basi umefanya makusudi.

Mtu afe 2001 mwingine azaliwe 2016 tuseme baba yake ni yule aliefariki 2001? Hapo inakuwa haiwezekani lakini kama aliezaliwa 2016 na anatoka familia ya yule aliekufa 2001 hiyo inawekezekana.

La msingi hii biashara isiwe na vidonda ndani yake ila kikubwa korosho zinunuliwe na wakulima wafaidi mavuno yao.
Kampuni hii tukiacha siasa na upofu tulionao katika mazuri na mabaya, inawalakini.
Nimeona inatangaza Alibaba Kama dalali wa Korosho.

Tujenge Tanzania yetu, tushirikiane na tuhoji pamoja haya mambo ili sote tunufaike na juhudi halali za kuwakomboa wakulima
Sasa sisi watz tunashida gani awe amekufa au la wakati mkataba umesainiwa kweupe!! Tena kwa bei ya juu kwani sisi tunamzuia kutangaza alibaba kweli??!! Hiyo ni website ya kutangaza biashara tatizo liko wapi? Watz lazima tuache siasa kwa kila kitu. Ndiyo maana Wakenya walikuwa wanatupiga kwenye Tanzanite kupitia Wahindi.
 
Sasa sisi watz tunashida gani awe amekufa au la wakati mkataba umesainiwa kweupe!! Tena kwa bei ya juu kwani sisi tunamzuia kutangaza alibaba kweli??!! Hiyo ni website ya kutangaza biashara tatizo liko wapi? Watz lazima tuache siasa kwa kila kitu. Ndiyo maana Wakenya walikuwa wanatupiga kwenye Tanzanite kupitia Wahindi.
Ni kweli uyasemayo tuache siasa lakini kuhoji ni jambo jema sana hasa ukiwa hujaweka masilahi ya chama mbele.

Mfano: Mikataba ya Escrow na EPA si zilisainiwa watu wanaona? Hata mikataba ya madini Kama hizo Tanzanite ilipigiwa chapuo hadharani.
Lakini kwa kutokuhoji Kwetu si waona tuliendelea kuibiwa kila siku huku wale wanaohoji/waliohoji wakiambiwa hawafai?

Nadhani tujiwekee misingi ya kuhoji ili watawala watupe majibu yanayostahili na kuridhisha.
Hili suala watu wamehoji na naibu waziri katoka na kujibu.
Hivi ndivyo inavyotakiwa.
Ila kila linaloamuliwa na haliridhishi tunaliacha kisa siasa au ukihoji wew msaliti au vile na vile, Tanzania tunayoitaka haitakuwa
 
Zitto unautindio wa ubongo kwa hiyo mmiliki akifa au kufungwa then kampuni yake haiwezi fanyabiashara?. Hivi kweli wewe Zitto umesoma na kuelimika au ulihudhuria chuoni tu elimu ukaicha huko huko chuoni??!!
We unasemaje kunguni? Umeelewa hoja iliyopo mbele yako au umekombilia kutoa kashfa kwa mtoa mada ili uwahi buku 7? Hoja ipo hivi pimbi ww kampuni imeanzishwa mwaka 2016 ila mmoja wa waanzilishi alifariki 2001 upo hapo?
 
Tatizo liko wapi?
Je wengine mlitaka Korosho isinunuliwe?
Hata kama Kampuni iliyoingia mkataba wa kununua Korosho yetu ilisajiliwa nje ya nchi hiyo,je inatuhusu nini sisi kama nchi?

Jambo moja ni kuwa Serikali imepata MNUNUZI wa Korosho.
Na BENKI itakayotoa/ itakayo FINANCE manunuzi ni ya kutoka nje ya nchi hiyo. Sasa sijui povu la nini?
Mbona wengine wetu hatufurahi wakati mazuri yanapotokea NCHINI??
. Kazi ni KULAUMU tu.
si fair hata kidogo!
Unafikiri kutumia nn? Kichwa au mavi? Umeelewa sheria ya nchi na mchakato wa manunuzi iliyotiwa saini? Huyu jiwe si ndiyo anaekataa wapiga deal? Hapa kimefanyika nini? Tafakari kwanza kabla ya kutoa huo ujinga wako.
Nyie uvccm mbona hamueleweki tatizo nn? Shule au njaa?
 
We unasemaje kunguni? Umeelewa hoja iliyopo mbele yako au umekombilia kutoa kashfa kwa mtoa mada ili uwahi buku 7? Hoja ipo hivi pimbi ww kampuni imeanzishwa mwaka 2016 ila mmoja wa waanzilishi alifariki 2001 upo hapo?
Wewe dada hebu tuliza mshono!!
 
Unafikiri kutumia nn? Kichwa au mavi? Umeelewa sheria ya nchi na mchakato wa manunuzi iliyotiwa saini? Huyu jiwe si ndiyo anaekataa wapiga deal? Hapa kimefanyika nini? Tafakari kwanza kabla ya kutoa huo ujinga wako.
Nyie uvccm mbona hamueleweki tatizo nn? Shule au njaa?
Dada tuliza mshono!
 
Zitto unautindio wa ubongo kwa hiyo mmiliki akifa au kufungwa then kampuni yake haiwezi fanyabiashara?. Hivi kweli wewe Zitto umesoma na kuelimika au ulihudhuria chuoni tu elimu ukaicha huko huko chuoni??!!
1-Kampuni imeanzishwa mwaka 2016
2-Mwanzilishi alifariki mwaka 2001
Kati ya weye na Zitto nani ana mtindio wa ubongo?
 
Ki uhalisia kufunguliwa kwa kampuni hakuko sawa kisheria ,kampuni haiwezi kuwa na wakurugenzi au wanahisa mizimu,waliokufa,serikali lazima iingie.mikataba na makapuni yaliyo sahihi kisheria
Tatizo liko wapi?
Je wengine mlitaka Korosho isinunuliwe?
Hata kama Kampuni iliyoingia mkataba wa kununua Korosho yetu ilisajiliwa nje ya nchi hiyo,je inatuhusu nini sisi kama nchi?

Jambo moja ni kuwa Serikali imepata MNUNUZI wa Korosho.
Na BENKI itakayotoa/ itakayo FINANCE manunuzi ni ya kutoka nje ya nchi hiyo. Sasa sijui povu la nini?
Mbona wengine wetu hatufurahi wakati mazuri yanapotokea NCHINI??
. Kazi ni KULAUMU tu.
si fair hata kidogo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuongopa baadae utalala na kukoroma na siku itapita sisi Hapa Kazi Tu!!
Hahahahahaaa,umebanwa mbavu,usiwe unakurupuka tu kuwa wa kwanza kujibu hata kama hoja hujaielewa!
 
Ubarikiwe kwa mapoint
Ulikuwa na hoja ya msingi ya kumjibu Zito ila nadhani hukuelewa au hata kama umeelewa basi umefanya makusudi.

Mtu afe 2001 mwingine azaliwe 2016 tuseme baba yake ni yule aliefariki 2001? Hapo inakuwa haiwezekani lakini kama aliezaliwa 2016 na anatoka familia ya yule aliekufa 2001 hiyo inawekezekana.

La msingi hii biashara isiwe na vidonda ndani yake ila kikubwa korosho zinunuliwe na wakulima wafaidi mavuno yao.
Kampuni hii tukiacha siasa na upofu tulionao katika mazuri na mabaya, inawalakini.
Nimeona inatangaza Alibaba Kama dalali wa Korosho.

Tujenge Tanzania yetu, tushirikiane na tuhoji pamoja haya mambo ili sote tunufaike na juhudi halali za kuwakomboa wakulima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto unautindio wa ubongo kwa hiyo mmiliki akifa au kufungwa then kampuni yake haiwezi fanyabiashara?. Hivi kweli wewe Zitto umesoma na kuelimika au ulihudhuria chuoni tu elimu ukaicha huko huko chuoni??!!
aiseeeh hapa umechangia bila ya kuushirikisha ubongo wako
 
Back
Top Bottom