Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Mkuu we nommaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni ya RICHMOND iliyoingia mkataba na Serikali ya Tanzania kwani ilitokea wapi...??
Ukilijua hilo basi usiwe na hofu kwanini hiyo kampuni ya kununua hizo tani laki moja imekuja pasikojulikana....
Eaters are within us.
Sent using Jamii Forums mobile app