Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Mtaji wa hiyo kampuni unamuhusu nini mkulima wa kule Tandahimba!
Kha!!! Samahani ili niendekee na wewe ningependa Kwanza kujua kuwa kutoka kwako

Je, unajua umuhim wa kwa nini kampuni lazima isajiliwe kwa taarifa binafsi na wasifu wa kampuni pamoja na shughuli inazofanya, ikiwemo taarifa ya mtaji na taarifa za watoa mtaji huo kwa kiwango na idadi ya mgawanyo wa mtaji husika???

Je unajua usajili huo hufanywa kwa kulipia ada maalum kisheria???

Je unajua ni kwa nini lazima kufanya hivyo???

400 bln it's not a small money brother kwa kampuni isiyo kuwa wazi maana yake mtaji huenda ukawa ni hizohizo pesa za walipa Kodi upo hapo ???

Msikalie ushabiki mandazi fikirieni nje ya box huu utawala ni mafisadi haijawahi kutokea tangu Uhuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kha!!! Samahani ili niendekee na wewe ningependa Kwanza kujua kuwa kutoka kwako

Je, unajua umuhim wa kwa nini kampuni lazima isajiliwe kwa taarifa binafsi na wasifu wa kampuni pamoja na shughuli inazofanya, ikiwemo taarifa ya mtaji na taarifa za watoa mtaji huo kwa kiwango na idadi ya mgawanyo wa mtaji husika???

Je unajua usajili huo hufanywa kwa kulipia ada maalum kisheria???

Je unajua ni kwa nini lazima kufanya hivyo???

400 bln it's not a small money brother kwa kampuni isiyo kuwa wazi maana yake mtaji huenda ukawa ni hizohizo pesa za walipa Kodi upo hapo ???

Msikalie ushabiki mandazi fikirieni nje ya box huu utawala ni mafisadi haijawahi kutokea tangu Uhuru

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mtaji ukiwa ni fedha za walipakodi na wabunge wetu wameridhia kuna taabu gani?!!
 
Hahahaa...... Naona umemwaga povu kbao kununua korosho siyo sawa na tenda ya construction!

Leta fedha chukua mzigo biashara imeisha!

Kinachofanyika hapo ni
"Chukua hizi Fedha jifanye unatangaza unakuja kununua, tutasaini makubaliano kwa ajili ya Photo-Op, Nitakulipa Commission kwa kazi nzuri utakayonifanyia"

AU

"Wewe Jifanye umeshaingiza hela kwenye Account yangu, Chukua Koroshow bure, Kauze ng'ambo, halafu Changu utanipa baadae. Mimi nitajifanya umeshanilipa, nitachukua pesa za Vote-20 nitawalipa wakulima, Kisha watanishangilia. Wewe ukishauza ng'ambo nitakulipa Commission"

Ni Kitu kama hicho tu kinafanyika
Ufisadi mtupu!!
 
Huyu Mutembei ananikumbusha Rugemalira maana hawa watani zangu kwa haya mambo wako vizuri.
 
Kinachofanyika hapo ni
"Chukua hizi Fedha jifanye unatangaza unakuja kununua, tutasaini makubaliano kwa ajili ya Photo-Op, Nitakulipa Commission kwa kazi nzuri utakayonifanyia"

AU

"Wewe Jifanye umeshaingiza hela kwenye Account yangu, Chukua Koroshow bure, Kauze ng'ambo, halafu Changu utanipa baadae. Mimi nitajifanya umeshanilipa, nitachukua pesa za Vote-20 nitawalipa wakulima, Kisha watanishangilia. Wewe ukishauza ng'ambo nitakulipa Commission"

Ni Kitu kama hicho tu kinafanyika
Ufisadi mtupu!!
Hayo mambo alikuwa anafanya Mbowe na yale mafuso yake pale Ufipa!
 
Kuna sakata la kampuni ya Kitapeli ya Kenya ambayo inaishi kiutapeli na imegundulika haina pesa za kuweza kununua kiwango hicho cha Korosho bali zipo dalili kuwa fedha hizo ni zetu wenyewe Vote 20 na ni mchezo mchafu tuu unaendelea.
Kama habari hizo zilizofichuliwa na gazeti maarufu la East African ni kweli maana yake mchezo huo viongozi wa juu wote wanaujua na wameshiriki katika njama za kutuibia kama Taifa. Hawa sio WAZALENDO maana wanaibia TAIFA na ni hatari sana kwa usalama wetu. Wakati taifa zima limegeka kuangalia Lissu anasema nini huko duniani huku nyumbani Viongozi wanashirikiana na matapeli wanapanga kuiba mabilioni ya shilingi bila aibu.
Kama ikidhibitika utawala huu umeshiriki kupanga njama za kuiba (kama hawajaiba tayari) kuna haja ya kuendelea kuwatambua kama halali hata kwa siku moja zaidi tuu.
Tunadanganywa hapa kuchukia mafisadi kumbe majizi tunayo ndani ya mjengo mkuu na hazinani kwetu? This is too much, tuchukue hatua vinginevyo sisi ni mafala
 
Zitto Kabwe:

Kampuni HEWA isiyo na Ofisi, wanasheria, akaunti ya Benki, wakaguzi nk inaingia mkataba wa kununua Korosho za zaidi shs 400bn na Serikali inayojipambanua kupambana na ufisadi google.com/amp/s/www.thee… ! Mbele ya Waziri Palamagamba Kabudi! @cecil_mwambe @Nnauye_Nape Jumapili njema.

Zitto Kabwe:

“It has not been lost on keen observers that a firm that is outward looking and active in international trade has no online presence. Official registration records also indicate that Indo Power has no bankers, no lawyers, no auditors, and no company secretary.”

Kwa taarifa kamili fungua hii link hapa chini:

Shadowy firm at the centre of $180m nuts deal
Kama wakulima wanalipwa,sidhani kama kuna haja ya kujua mnunuzi ni nani..Kama kuna walakini tutasubiria repoti itoke..kisha tutajadili,nafikiria kwa sababu ya mambo ya wafanyabiashara wa korosho bora hili swala liendelee kama "classified issue" hakuna haja ya kuendelea kuipa serikali presha kwenye korosho.Kuna mambo mengine ya kujadili..
 
Acha umazwazwa wewe, serikali haipaswi kufanya biashara na kampuni zisizoelezeka tusije tukajikuta tunatakatisha fedha haramu bure!

Ila It seems hizi ni hela zilezile za Vote-20., zinatoka mfuko huu kupitia mfuko ule huku kampuni Ya Wakenya ikiwa ni geresha tu!

Jiwe anataka kujinusuru kwa aibu ya Koroshow kwa kuzinunua yeye mwenyewe, ila kwa sababu hawezi kununua kiwaziwazi bila bajeti ya bunge, ndo inabidi zitumike zilezile za Vote 20 kwa kujifanya eti Kampuni ya Kenya imenunua!.
Na kwenye kuitumia hiyo kampuni ya Wakenya Mafisadi wanaweza kutupiga kwa kuweka percent zao!. Si unajua hizo pesa za Vote-20 haziwi audited?.

Kampuni isiyo na dola milioni 20 benki itawezaje kununua mzigo wa thamani ya dola milioni 180?

Jiongeze wewe!
Hili dili lina kila aina ya harufu ya Utakatishaji fweza!

Hiyo shule ulienda kusomea ujinga?
Ata mafuta ya Marekani sio yote yamelipiwa..hii kitu inaenda kama "top secret" kwa maslahi ya Taifa.Kinacholeta Pato kwa mwananchi ni tofauti na kinachochukua pato la mwananchi.Kuna umuhimu mkubwa mnunuzi asijulikane mapema ili kuepusha vita ya biashara na wale wazushi walikataa bei aliyotamka Rais
 
Zitto Kabwe:

Kampuni HEWA isiyo na Ofisi, wanasheria, akaunti ya Benki, wakaguzi nk inaingia mkataba wa kununua Korosho za zaidi shs 400bn na Serikali inayojipambanua kupambana na ufisadi google.com/amp/s/www.thee… ! Mbele ya Waziri Palamagamba Kabudi! @cecil_mwambe @Nnauye_Nape Jumapili njema.

Zitto Kabwe:

“It has not been lost on keen observers that a firm that is outward looking and active in international trade has no online presence. Official registration records also indicate that Indo Power has no bankers, no lawyers, no auditors, and no company secretary.”

Kwa taarifa kamili fungua hii link hapa chini:

Shadowy firm at the centre of $180m nuts deal

Jiwe, please, fukuza tena waziri wa kilimo. Mbona Chattle bado wapo watoto wa Dada wengi kushika nafasi hiyo!
 
Tena mwaka huu 800/=sijui kama itafika maana wakulima hamwamini mtu yoyote tena,wameauza mali zao,wamekopa kwa liba wakingojea malipo.afu wanalipwa daraja lá pili .
Ukiwa na 5m tani 5 fasta.
Wanamdanganya sana mh rais .
Bangi mbichi ni hatari kwa Afya.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ni mara ya kwanza kuongozwa na mtu mwenye upeo wa darasa la saba...
Haya hapa hayahitaji elimu..
*kufukuza wafanyakazi
*kuteka
*kuweka watu ndani
*kutopandisha mshahara
*kununua ndege ni hela yako tu, mziki kupata faida
*kujenga barabara, ni hela yako tu ambayo unaweza kuipata hata kwa kunyang'anya
*kujenga reli, ni hela yako tu na ukiwa na rasilimali mikopo kibao..
*kujenga viwanda, haya ni mabanda tu yanayowekwa mashine, issue uzalishe bidhaa ikashindane soko la dunia..
UPEO huonekana hapa..
*kuwaunganisha wananchi, leo tumegawika na kuharibu juhudi za mwalimu
*kuboresha uchumi, hali ni ngumu, shilingi hoi
*export ya bidhaa zenye ushindani, leo hata biashara ya ndani ya usafiri bila mizengwe kwa fast jet mambo hayaendi
*uwezo wa kutengeneza fursa kwa vijana na kuboresha uzalishaji na hali za maisha
*kuwa na mahusiano yaliyotukuka ya kimataifa
*serikali kutengeneza njia bora za mapato pasipo kumnyonya mwananchi, leo ni unyonyaji na kuomba misaada kwa mabeberu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom