Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Ikitokea ikawa kama Richmond au Netsolution au IPTL tutaaibika Mbeki ya kutaka pesa za kigeni tungeangalia tunafanya na nani biashara Mimi ktk kazi zangu mgodini nilikuwa na wanyima tenda makampuni ya namna hiyo kulinda maslahi ya kampuni huwezo wa kuwapa order nilikuwa nani making siuthubutu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I really hope huu mchezo hawa jamaa hawaufanyi kumuaibisha Mkuu wa Kaya siku za mbeleni. Dola 180M ni hela ndefu by any stretch of imagination.

Ukiunganisha dots.....Kuna kitu hakiko sawa.

Muda utaongea.
 
Mkuu kwa taarifa zilizopo ni kuwa wakubwa baada ya kuangukia pua kwenye operation koroshow wametafuta dalali wa kuuza hiyo korosho na tayari jamaa ameenda na wanunuzi fulani mtwara na pwani na wamekagua na kuambiwa kuwa watauziwa kilo moja grade 1kwa sh 4800 na grade 2 kilo moja kwa sh 3800 na hao wanunuzi wamesepa hivyo huyo siyo mnunuzi bali ni dalali

In God we Trust
Eeeh!
 
===
ILANI:
Sina mashaka kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini
===

Mkuu Mkirindi,

Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Ninachokijua mimi ni hiki:

1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho

View attachment 1010458

Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake

View attachment 1010459

Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.

Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.

2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei

Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.

Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).

Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):

View attachment 1010461

Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.

Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:

View attachment 1010475

Naishia hapa kwa leo.
Kwa akili zangu zotee,mimi naamini kabisa usalama wa taifa ni kwaajiri kulinda viongozi tuu na maslahi yao na sio kingine.labda usala wa taifa wa enzi zile.

Najua mmo humu nyie mjiitao usalama wa taifa,namnauchungulia uzi huu huku mkiwa mmevuta midomo,ila hakuna namna aiseee.ni aibu kila siku mnahangaika na mambo madogomadogo tuuu.sina korodani aisee hivyo tusitafutane.
 
Zitto Kabwe:

Kampuni HEWA isiyo na Ofisi, wanasheria, akaunti ya Benki, wakaguzi nk inaingia mkataba wa kununua Korosho za zaidi shs 400bn na Serikali inayojipambanua kupambana na ufisadi google.com/amp/s/www.thee… ! Mbele ya Waziri Palamagamba Kabudi! @cecil_mwambe @Nnauye_Nape Jumapili njema.

Zitto Kabwe:

“It has not been lost on keen observers that a firm that is outward looking and active in international trade has no online presence. Official registration records also indicate that Indo Power has no bankers, no lawyers, no auditors, and no company secretary.”

Kwa taarifa kamili fungua hii link hapa chini:

Shadowy firm at the centre of $180m nuts deal
 
Back
Top Bottom