Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

Kuna sakata la kampuni ya Kitapeli ya Kenya ambayo inaishi kiutapeli na imegundulika haina pesa za kuweza kununua kiwango hicho cha Korosho bali zipo dalili kuwa fedha hizo ni zetu wenyewe Vote 20 na ni mchezo mchafu tuu unaendelea.
Kama habari hizo zilizofichuliwa na gazeti maarufu la East African ni kweli maana yake mchezo huo viongozi wa juu wote wanaujua na wameshiriki katika njama za kutuibia kama Taifa. Hawa sio WAZALENDO maana wanaibia TAIFA na ni hatari sana kwa usalama wetu. Wakati taifa zima limegeka kuangalia Lissu anasema nini huko duniani huku nyumbani Viongozi wanashirikiana na matapeli wanapanga kuiba mabilioni ya shilingi bila aibu.
Kama ikidhibitika utawala huu umeshiriki kupanga njama za kuiba (kama hawajaiba tayari) kuna haja ya kuendelea kuwatambua kama halali hata kwa siku moja zaidi tuu.
Tunadanganywa hapa kuchukia mafisadi kumbe majizi tunayo ndani ya mjengo mkuu na hazinani kwetu? This is too much, tuchukue hatua vinginevyo sisi ni mafala
Kama ilivyokuwa kwenye makinikia, Propesa Kabundi alisifu hiyo dili kuwa ni halali, imefuata taratibu zote za kisheria na palikuwa na uwazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sakata la kampuni ya Kitapeli ya Kenya ambayo inaishi kiutapeli na imegundulika haina pesa za kuweza kununua kiwango hicho cha Korosho bali zipo dalili kuwa fedha hizo ni zetu wenyewe Vote 20 na ni mchezo mchafu tuu unaendelea.
Kama habari hizo zilizofichuliwa na gazeti maarufu la East African ni kweli maana yake mchezo huo viongozi wa juu wote wanaujua na wameshiriki katika njama za kutuibia kama Taifa. Hawa sio WAZALENDO maana wanaibia TAIFA na ni hatari sana kwa usalama wetu. Wakati taifa zima limegeka kuangalia Lissu anasema nini huko duniani huku nyumbani Viongozi wanashirikiana na matapeli wanapanga kuiba mabilioni ya shilingi bila aibu.
Kama ikidhibitika utawala huu umeshiriki kupanga njama za kuiba (kama hawajaiba tayari) kuna haja ya kuendelea kuwatambua kama halali hata kwa siku moja zaidi tuu.
Tunadanganywa hapa kuchukia mafisadi kumbe majizi tunayo ndani ya mjengo mkuu na hazinani kwetu? This is too much, tuchukue hatua vinginevyo sisi ni mafala
Au hilo neno Power ndio linakuchanganya mkuu?
 
Kama ilivyokuwa kwenye makinikia, Propesa Kabundi alisifu hiyo dili kuwa ni halali, imefuata taratibu zote za kisheria na palikuwa na uwazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama Professor Kabudi anatambua kuwa amejiingiza katika matatizo makubwa sana baada ya kuamua kuukana msimamo wa awali na kujishirikisha na wezi wa mali za umma huku wakimtumia yeye kama msemaji wao wa kisheria. Hakika Mgogo huyo atakuja kujuta siku zijazo
 
It looks like hiyo Kampuni wao wenyewe ndo wameipa hiyo kampuni Pesa ijifanye imenunua Koroshow ili wajinasue kwenye shimo walilojiingiza kwa sababu ya kukurupuka!

Matokeo yake kwenye huo mchezo tutapigwa hela ndefu sana na wajanja kwa sababu hizo hela hazina auditing yoyote!!
 
It looks like hiyo Kampuni wao wenyewe ndo wameipa hiyo kampuni Pesa ijifanye imenunua Koroshow ili wajinasue kwenye shimo walilojiingiza kwa sababu ya kukurupuka!

Matokeo yake kwenye huo mchezo tutapigwa hela ndefu sana na wajanja kwa sababu hizo hela hazina auditing yoyote!!
Hii ni disaster kwa nchi yetu tokea tupate Uhuru, kweli uongozi wa juu unajiingiza kwenye utapeli kwa hela za serikali zilizokwibwa? No wonder CAG Akawa anapigwa mikwala ili kumuondoa kwenye umakini wake waendeleze wizi wao.
Ila ajabu kubwa ni kuwa kuna watu humu JF na kwingineko wanashindwa kuiona hali hii na wanabaki kuwa wapiga debe wa dikteta bila hata haya. Wamelishwa nini? Hawana tofauti na waume walio twangwa Limbwata maana wao hata wakute mke ana dume kaingiza ndani, wako radhi kutoingia ndani wasubirie nje ili dume limalize haja zake liondoke huku likisema labda mkewe alikuwa anaongea mambo ya biashara.
 
Mimi siamini kama ni Kampuni ya kitapeli. Siku ile ya utiaji sahihi Waheshimiwa walitoa sauti ya kuisifu na kukaa nyuma ya watia sahihi kwa mbwembwe.
 
Balozi wa Kenya alikuwepo na akaahidi kesho yake baada ya sahihi atambrief Rais Kenyatta. Huu utapeli maana yake serikali ya Kenya inahusika. Hebu acheni propoganda uchwara.

Richmond ilikuwa ya wahindi hapo uhuru wenye biashara ya stationery na kupiga photocopies. Kifo na Usingizi havilinganishwi hata siku moja.
 
===
ILANI:
Sina shida kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini. Aidha, napata shaka kuwa kuna mtu nyuma ya kampuni hii ambaye soon tutamjua na tutajua lengo lake.
===

Mkuu Mkirindi,

Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Ninachokijua mimi ni hiki:

1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho

View attachment 1010458

Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake

View attachment 1010459

Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.

Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.

2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei

Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.

Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).

Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):

View attachment 1010461

Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.

Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:

View attachment 1010475

Naishia hapa kwa leo.

UPDATE, Feb 9, 2019

View attachment 1018644

Hii ni balaa
 
Hii ni balaa

Ni balaa kubwa sana kaka, wakati mwingine unajiuliza hivi TISS kazi yao ni nini haswa?

Maana kama member wa JF ameweza kwenda Chimbo kidogo tu na kuibuka na information muhimu za hii kampuni "kanjanja" ina maana hawa TISS na mtandao wao mpana wameshindwa kuliona hili, au nao ni washirika katika hili gemu?
 
Ni balaa kubwa sana kaka, wakati mwingine unajiuliza hivi TISS kazi yao ni nini haswa?
Maana kama member wa JF ameweza kwenda Chimbo kidogo tu na kuibuka na information muhimu za hii kampuni "kanjanja" ina maana hawa TISS na mtandao wao mpana wameshindwa kuliona hili, au nao ni washirika katika hili gemu?

Kazi yao kuua wapinzani tu
 
===
ILANI:
Sina shida kabisa kama watu hawa wamelipa pesa walizosema watalipa ila endapo hawajatoa pesa na wamekuja kutafuta kiki kwetu ni vyema tuwachambue kwa umakini. Aidha, napata shaka kuwa kuna mtu nyuma ya kampuni hii ambaye soon tutamjua na tutajua lengo lake.
===

Mkuu Mkirindi,

Mimi Intelligence ya siku hizi inanishangaza inavyofanya kazi yake. Hakuna kitu kinasikitisha kama kuwa na Idara ya Usalama inayohangaika kudhibiti wananchi kwa maslahi ya 'tabaka tawala' badala ya kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Ninachokijua mimi ni hiki:

1) Kampuni ya INDO Power Solutions imesajiliwa nchini Kenya mwaka 2016 ikionyesha inamilikiwa na watu wawili:
a) Joyce Waithira Gatoho na
b) Alice Wanjiku Gatoho

View attachment 1010458

Lakini, kinachoshangaza kidogo hapa ni kuwa pamoja na uchanga wa kampuni hii; Joyce anayedaiwa kuwa shareholder ni marehemu kitambo sana. Sasa, endelea kunisoma chini uelewe nini maana yake

View attachment 1010459

Ukisoma hapo juu utabaini kuwa Alice kwa mantiki hii ni sole shareholder ambaye akijua wazi kuwa Joyce hayupo hai (kwa nia ovu naweza kusema) aliamua kutumia jina lake ili atimize azma yake.

Taarifa za kampuni hii ambazo nimezipata ndani ya dakika 25 hivi nilitarajia vyombo vyetu vingeweza kuzipata kwa urahisi na kuepusha aibu mbeleni.

2) Twende kwa huyu ndugu Brian Mutembei

Namfahamu huyu jamaa kwa uzuri tu. Brian ni dalali maarufu na kwa waliokaa katika jiji la Nairobi watakuwa wanamfahamu.

Dalali huyu ni mtu wa karibu na Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto (ambaye wakenya wanamjua kama mmoja wa watu mafisadi wa kutupwa).

Brian ana rekodi ya makosa ya jinai na amewahi kufungwa. Kumbukumbu zake zipo kila sehemu (mtu akijiongeza):

View attachment 1010461

Aidha, dalali huyu anajulikana kwa mbwembwe zake za kumwaga mafedha kuonyesha 'jeuri ya pesa' hivyo siwezi kumtofautisha na kina "Ndama Mutoto ya Ng'ombe" au "Jackie Pemba" hivyo yeye kutumika kwenye hili deal haishangazi.

Simsingizii, soma hii story (event hii nzi wetu alikuwepo) na utaona maneno haya hapa:

View attachment 1010475

Naishia hapa kwa leo.

UPDATE, Feb 9, 2019

View attachment 1018644
Usalama wa Taifa aka Usalama wa CCM na serikali yake wako busy kupoteza wapinzani.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimekuwa ni aibu kwa taifa.
 
Commodity trading inahitaji akili Sana.bila mikopo mikubwa kutoka bank huwezi fanya hii biashara.waulizeni Congo na rubber yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom