Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Aje kuongelea hapa hapa kwani yy hana kazi ya kufanya marekani? tambua yy ni mkazi wa huko lazima aongelee huko huko alipo kwani ujasiri lazima uwepo Tanzania? Watanzania wangapi wapo nje wanakerwa na udikteta wa kumkumbatia Daud bashite lakini hawathubutu kusema kitu, Vijana hawajawadharau viongozi bali tabia zao za kukumbatia Uovu ndizo huwafanya kudharaulika, heshima zipo kwa wale viongozi wanaojiheshimu tu, isipowaheshimu watanzania hakuna atakayekuheshimu dawa ya moto ni moto, wameamua kumkumbatia Daud bashite asiye na vyeti huku wafanyakazi wengine wakiwa wamefukuzwa kazi wanateseka mitaani alafu mnataka mheshimiwe kwa lipi? Ebu mfukuzeni Daud bashite muone heshima zenu zitavyorejeshwa kwa kasi.

Basi we hujamsoma huyo dada. Hana ajenda. Bashite Unajua kwanini. Yeye sio kwamba ni mwanaharakati. Ni mama visa. Fuatilia tu namna zake na watu wake. Ccm ya sasa na mkuu na aliyokuwa anagombea ubunge ipi iko kichama zaidi .mwanaharakati kwa namna hiyo umeona wapi. Ye ni kama mtu wa kijiweni.
 
Habarini wanajamvi,

Nimekuwa nikimsikia mwanadada Mange Kimambi kama Mwanamama na Mwanaharakati Wakitanzania anayeishi nchini Marekani anaefanya harakati zake kwa njia ya Mitandao ya Kijamii kama vile INSTAGRAM na FACEBOOK.

Mwanamama huyo amekuwa akitoa hoja mbali mbali ziwe hasi au chanya zinazohusu Serikali, Taasisi na hata watu binafsi na anaonekana kupata mashabiki wengi hasa vijana wanaotumia mitandao hiyo ya kijamii.

Je? Mwendelezo wa harakati hizi unaweza kuwa na athari gani kwa vijana na watu wa rika zote wanaomfuatilia?
Mnamwongezea followers
 
Mnamuita Mange malaya. Umalaya wake una impact gani kwenye maisha yenu? Kanunueni K yake kama mnataka. Mwache atupe raha..tunataka habari hasa kuhusu uchafu wa nchi hii, mabeef yake binafsi na watu wengine hayatuhusu...watajua wenyewe. Ziwe ni za ukweli au za uongo tutachuja wenyewe. Ni mtanzania pekee anayeweza kuikosoa serikali..wengine tumebaki kulalamika chini chini. Live Long Mange...watakuelewa tu!
Sio kila mtanzania analalamika kama maisha yamekuchapa ni wewe sisi wengine Maisha burudani. Endelea kumfuatilia Mange badala ya kufanya kazi uone kama malalamiko yako yataisha
 
Habarini wanajamvi,

Nimekuwa nikimsikia mwanadada Mange Kimambi kama Mwanamama na Mwanaharakati Wakitanzania anayeishi nchini Marekani anaefanya harakati zake kwa njia ya Mitandao ya Kijamii kama vile INSTAGRAM na FACEBOOK.

Mwanamama huyo amekuwa akitoa hoja mbali mbali ziwe hasi au chanya zinazohusu Serikali, Taasisi na hata watu binafsi na anaonekana kupata mashabiki wengi hasa vijana wanaotumia mitandao hiyo ya kijamii.

Je? Mwendelezo wa harakati hizi unaweza kuwa na athari gani kwa vijana na watu wa rika zote wanaomfuatilia?
Nyie ndo Mnao mfanyia matangazo ili apate followers wengi[emoji4] [emoji4]
 
Mange Kimambi nadhani kazi yake kubwa ni kutafuta followers kule mtandaoni na hakuna kingine,,
 
Sio kila mtanzania kama maisha yamekuchapa ni wewe the wengine Maisha burudani. Endelea kumfuatilia Mange badala ya kufanya kazi uone kama maisha yako yataisha
Sio lazima umfatilie mkuu. Fanya kazi tuache sisi tunaemfatilia. The choice is yours!
 
Bashite angekuwa kwetu Uganda siku nyingi wangezaa nae ni ingekuwa story ingawa mnasema ni mchawi sana lakini hizo hirizi zake zingetenguliwa haraka na angelazwa chali atulie hospital kama miaka 4 hivi, huko Dsm naona mnamuogopa sana ilitakiwa mda huu awe kijijni koromije anavua samaki.
CORRECTION: Ilitakiwa awe jela muda huu
 
Acha kuongea kama kahaba wewe! Anayoyaongea mange yote ni ya kweli. Yule mama ni mwanamke wa shoka. Shujaa. Hii teknolojia ndiyo imesaidia watu kupata info na serekali ya ccm wanashindwa kuidhibiti. Hongera mange. Nkijaliwa kupata mtoto wa kike nitampa jina la mange.
Hakika mange anamisukule mingi cha kushangaza mingi ni ya kiume
 
Sio kila mtanzania kama maisha yamekuchapa ni wewe the wengine Maisha burudani. Endelea kumfuatilia Mange badala ya kufanya kazi uone kama maisha yako yataisha
Well said[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Binafsi sikuwahi kuwa shabiki wa Mange huko nyuma, ila kwa hili la Daudi Bashite kanishika walahi. Haiwezekani nchi ikawa inaendeshwa na watu wawili watakavyo tuwachekee tu, ni lazima waanikwe upuuzi wao, najiuliza asingekuwa Mange huu unafiki wa Bashite na Babaake tungeujulia wapi? Hata kama mwenye mamlaka hajachukua hatua ila nashukuru Mungu watanzania wamejua tunaongozwa na watu wa namna gani
 
Mange anajitahidi sana kutafuta information na kuzidadavua vema kwenye ishu ya siasa anaconnect dots vizuri unamuelewa sasa ni wewe kujiongeza kumuelewa alichokisema

Ishu akija kuongelea ishu personal anamaneno magumu hatari toka Jana yuko na wolper kuna Yule Lucy Mayenge mbunge Viti maalumu mama yangu ni matusi matupu
 
Nadhani we we unafata mkumbo hebu ingia kwenye account yake uniambie anafanya kazi gani zaidi ya kulelewa na mzungu tu na mpaka mzungu kamchosha.
Mwanamke kulelewa ni kawaida ndugu... kwani unamuonea wivu?
 
Twambie anafanya kazi gani maana kihelehele kama unamjua....yule kazi anayofanya ni 'umalaya' na hii inathibitisbwa na aina ya matusi anayoporomoshea watu inaonesha kuwa sio mzima...
Umalaya wake tunamuachia mwenyewe maana papuchi ya kwake, na si kila anayeporomosha matusi ni malaya, pia si kila asiyeporomosha matusi si malaya.
Ninachompenddea ni uthubutu wa kusema kile ambacho wengine wanao uwezo lakini wameamua kukaa kimya.
 
Aje kuongelea hapa hapa kwani yy hana kazi ya kufanya marekani? tambua yy ni mkazi wa huko lazima aongelee huko huko alipo kwani ujasiri lazima uwepo Tanzania? Watanzania wangapi wapo nje wanakerwa na udikteta wa kumkumbatia Daud bashite lakini hawathubutu kusema kitu, Vijana hawajawadharau viongozi bali tabia zao za kukumbatia Uovu ndizo huwafanya kudharaulika, heshima zipo kwa wale viongozi wanaojiheshimu tu, isipowaheshimu watanzania hakuna atakayekuheshimu dawa ya moto ni moto, wameamua kumkumbatia Daud bashite asiye na vyeti huku wafanyakazi wengine wakiwa wamefukuzwa kazi wanateseka mitaani alafu mnataka mheshimiwe kwa lipi? Ebu mfukuzeni Daud bashite muone heshima zenu zitavyorejeshwa kwa kasi.
umemalizaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom