Who is Shivji mpaka asikosolewe?

Who is Shivji mpaka asikosolewe?

Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.

Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.

Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Wakati anatoa mhadhara wa uprofesa mwaka 1990 Nkrumah hall sijui ulikuwa ndani ya kaptura ipi?
 
Maprofessa wa Bongo Lipumba,Kabudi,Shivji ni Maprofessa "Bahasha" wasikupe tabu.
Lipumba atakupa taabu ktk uchumi lakini siyo siasa.
Kabuni atakupa taabu ktk sheria lakini siyo siasa.
Shivji atakupa taabu ktk sheria za ukomo wa DPW lakini siyo siasa. Umesema vyema.
 
Lipumba atakupa taabu ktk uchumi lakini siyo siasa.
Kabuni atakupa taabu ktk sheria lakini siyo siasa.
Shivji atakupa taabu ktk sheria za ukomo wa DPW lakini siyo siasa. Umesema vyema.
One thing in common wote ni wapenzi wa "Bahasha".
 
Unalinganisha ufaulu wa enzi ya kina Shivji na sasa? Mitihani enzi hizo A inaanzia 100%-81% miaka yenu sasa A inaanzia 100%-75%. Na unaruhusiwa kutumia calculator.
Ukikosa cha kusema kwa heshima kubwa, nyamaza.
Huyu Prof. Shivji alipoingia bungeni kuikosoa katiba ya Warioba, ccm mlishangilia sana na alitukanwa sana na hakuwahi kumjibu yeyote. Na hii ndio sifa ya mwanazuoni. Mtasema sana na mtatukana sana yeye keshasema.
Ajabu wanaokosoa huo mkataba ni wengi sana, wanasheria, tena wengine wamewahi kuwa mawaziri wakubwa waandamizi,mfano Mzee Warioba na Tibaijuka, lakini Prof. Shivji ndo unamwandama. Mbona mlimsikiliza kwenye bunge la katiba!!
Na hata ktk hilo bunge la katiba ni kipengele kimoja tu cha muundo wa serikali tatu muungano ambacho Shivji kwa maoni yake alipinga na akatoa hoja zake kuwa bora ziendelee kubaki mbili ingawa sisiem walimpenda hapo hapo ktk hoja hiyo hiyo kw sababu sisiemu ina advantage ktk kumpata rais wa JMT kwa kupitia kura za Znz kuliko CDMM and et al.

Lakini Shivji alikuwa na hoja nyingi mtambuko kama za uraia na mali asili, ardhi na nishati zenye maana kubwa na hazikuwa ktk muswada wa warioba lakini watu yoote hayo hawayakuyaona bali muundo wa serikali kwasababu ulikuwa na maslahi na kukosa maslahi ya kisiasa.
 
One thing in common wote ni wapenzi wa "Bahasha".
Kama kuna mtu kampa Shivji bahasha atetee mali za Tanganyika huyo mtu ni muhimu sana kwa Tanganyika. Hata Mimi nikiweza nampa Shivji bahasha ili wapinge waarab na washenzi wote wasioitakia mema Tanganyika.
 
Kama kuna mtu kampa Shivji bahasha atetee mali za Tanganyika huyo mtu ni muhimu sana kwa Tanganyika. Hata Mimi nikiweza nampa Shivji bahasha ili wapinge waarab na washenzi wote wasioitakia mema Tanganyika.
Kwa Nini unawaogopa waarabu! Toa sababu ili tuweze kumpa mzungu unayemtaka
 
Kama kuna mtu kampa Shivji bahasha atetee mali za Tanganyika huyo mtu ni muhimu sana kwa Tanganyika. Hata Mimi nikiweza nampa Shivji bahasha ili wapinge waarab na washenzi wote wasioitakia mema Tanganyika.
Shivji wa kesho utamshangaa kwa U turn utasema sio huyu.
 
Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.

Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.

Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
mseng.e mseng.e kama wewe unamkosoa nguli wa sheria wa nchi hii?
 
Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.

Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.

Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.

Baba yako alisoma kipindi cha nyerere hiko hiko vp na yeye ni prof
 
Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.

Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.

Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Na kwakuongezea tu Wahindi wamekuja hapa kutengeneza reli imekamilika mpaka imezeka, mpaka tunajenga SGR bado anataka kujiona anaweza kutusemea
 
Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.

Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.

Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Hoja hujibiwa kwa hoja.
 
Uwekezaji ni muhimu sana regardless how umefanyika. Tumechoka na huu umaskini wa kujitakia. Mbaya zaidi wachache wezi wa bandari ndo wanaonufaika at the expense of the majority. Ilikuwa kwamba ukiajiriwa bandarini basi umeula. Sasa basi

Maskini ni wewe na familia yako mnao penda kukaa tu nyumbani mletewe na waarabu. Mtu timamu una afya njema huwezi kua maskini. Tafuta hela wewe vinginevyo waarabu wa Dubai watakushikisha ukuta wakupe hela ya pampers
 
Mi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.

Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to jk Nyerere.

Kama ana akili kweli ashindanishwe na kabudi au lipumba.
Ni bora shule zifunguliwe Jumatatu mrudi masomoni. Shivji ashindanishwe na Kabudi kunywa dawa ambayo haijajaribiwa Kimaabara au ashindanishwe kwenye nini?
 
Back
Top Bottom