Purely talented, nani unayemuona anafaa na anatosha kuwa mgombea wa chama kwenye nafasi ya uraisi wa jamhuri mkuu?Labda ' Urais ' wa ' Totooz ' ila huu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania si tu hafai bali hatoshei pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Purely talented, nani unayemuona anafaa na anatosha kuwa mgombea wa chama kwenye nafasi ya uraisi wa jamhuri mkuu?Labda ' Urais ' wa ' Totooz ' ila huu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania si tu hafai bali hatoshei pia.
Purely talented, nani unayemuona anafaa na anatosha kuwa mgombea wa chama kwenye nafasi ya uraisi wa jamhuri mkuu?
Hii ni sababu mojawapo iliyomkosesha membe nafasi ya kwenda ikulu alijiandaa kuwakomoa watu mapema mno ndiyo maana Dua zao zikamzuia kufika mbali.Nimemkumbuka kipindi.anasema akiwa rais watu 12 wajiandae pale airport kuhamia kenya
Wasiojulikana ingawa baadhi sasa wanajulikana wapo busy kuhakikisha mtukufu anakuwa ikulu mpaka 2030Timu jiwe mmepaniq vibaya Sana, hii nchi ni yetu wote,
kwanini kikwete hakuitumia yake?Unakataa mwenyekiti anakura ya trufu.
Umeleta hoja ambayo mwandishi hakuwaza...hiyo ya kuongezea muda ni yako personally mkuu."mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,"duh
.....atakitaka kubadili katiba hamna wakumkataza ili endelee bila kikomo...... Hi ni hatari CCM na ukongwe wote mtu mmoja anabadili mfumo uliojengwa kwa zaidi ya miaka 50. Aibu kubwa kwa taifa.
HahahaLabda ' Urais ' wa ' Totooz ' ila huu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania si tu hafai bali hatoshei pia.
Mkuu unamtisha sana. Lazima na wewe utakuwa mmojawapo wa hao watia nia wa mafisiem. Teh.Kwanza nianze kwa kukupa pole nakumbuka kipindi kilee wachina na baadhi ya watanzania wakijenga kwako ulitamka neno kama watania kumbe ulimaanisha ukisema
"Jenga vizuri mwaweza kuwa mnajenga ikulu hii, yaan ya rais nijaye"
Mkuu naomba utulie kama ambavyo lowassa kashajikatia tamaa,
Siyo kwamba huna uwezo wa.kuwa rais, la hasha, ni kwamba mchakato unaopitia kujiandaa ni mbovu,
Tunajua huyu aliyeko madarakani kashatuimbisha mpaka nyimbo za chekechekea (mpera una maua mpera unamaua, -sasa saaa ya kwenda kwetu kwaheri mwalim kwaheri tutaonanaaa)
Lakin sasa nina sababu nne za msingi ambazo zitakufanya usiwe rais wa nchi hii
1. Intelligence ya Rais wa sasa imeenea kila eneo, kabla hamjatekeleza mnalopanga anakuwa nalo nyumba nyu
nyeupe tiyari
2. Umri wako unaenda na kwa mikakati inaonekana Kuna mtu anaamdaliwa kuachiwa kiti mwaka 2025 na automatically siyo wewe maana anayeachiwa ana hulka za kimagufuli magufuli, (Magufulifier)
3. CCM mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,
4. Faili lako liko kwake ukileta fyoko choko, kitambi kitapungia muda si mrefu, huoni kina seth na Rugemalira??
Ushauri wangu mambo ya urais yasahau kama Kina Malechela na Lowassa au kama walivyoishia kuugulia maumivu kina Mwandosya,
Britannica
Hapana mkuu sijawahi kuwa na nia hiyoMkuu unamtisha sana. Lazima na wewe utakuwa mmojawapo wa hao watia nia wa mafisiem. Teh.
1,000 usd itasaidia kitu gani mkuu kanjibhai?Veve iko zani membe taka urais, chekesha sana veve, iko patia 1,000 USD dodoma last election
Wanajiharishia hovyo tu wakisikia jina. Wegi wao ni wale mafisiem yaliyozoea kupokezana uongozi kwasababu yanafahamu kuhusu tume mbovu ya uchaguzi. Yenyewe yanaji position hadi 2025. Si unajuwa yenyewe yana priveledges? kwahiyo yana uwezo wa kukaa hadi 2025 yaki unga mkono juhudi za uharibifu wa taifa letu huku yakisubiri zamu yao ya uharibifu ifike yaendeleze kuharibu Tanzania. Ndo reality mbaya.Hahahaha
Membe anaonekana kuwa ni tishio
Anything can happen at any time..
Btw,kuna mtu aliota ... Kafa [emoji859]️
Aah wapi!Lazima! Lugha yako inaweka wazi hilo. Siyo wote wenye uwezo wa kuona. Mimi nimeona. Siyo lazima niwe sahihi.Hapana mkuu sijawahi kuwa na nia hiyo
Wananchi walimpitisha au ni tume ilimpitisha?Ila pale yupo kwa kuwa wananchi walimpitisha.
Mwacheni atumie haki yake ya democrasia[emoji3][emoji3][emoji3] watoto wadogo mnaangaika na nini, rais yupo anatosha sasa nani kakwambia membe anautaka urais?