Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Atakuja ajichekeshe kwa emoj kizuzu tu.Alooo bongo kama ulaya aisee au unasemaje ndgu yangu Tlaatlaah
mmmhMavazi ya mtu wakati mwingine ni kielelezo tosha cha uwezo wake wa akili yake ilipogota.
nani huyoAtakuja ajichekeshe kwa emoj kizuzu tu.
wapHuko ndo kwenye wapiga kura wengi
Wewe unaona ni sawa mtu mzima tena mtaalamu katika wizara kuleta wazo la ujenzi wa mabanda hamsini ya kuishi?Huo ni mradi unaotakiwa kuibuliwa na mwenyekiti wa kijiji akishirikiana na mshauri wake mtendaji wa kijiji.mmmh
Huyo tilatila sijui nani!nani huyo
Kweli kabisaWewe unaona ni sawa mtu mzima tena mtaalamu katika wizara kuleta wazo la ujenzi wa mabanda hamsini ya kuishi?Huo ni mradi unaotakiwa kuibuliwa na mwenyekiti wa kijiji akishirikiana na mshauri wake mtendaji wa kijiji.
Kwenye micro finance
nimeona izo shule hata vyuo vyetu havifikiiMkuu Ghana wamejitahidi ukiangalia mradi wao wa shule za sayansi 'STEMS' unashawishika kuwa kuna msomi aliwaza jambo la karne. Kama hujaziona zile shule nenda google, hizi za Samia chamtoto yasni ni kama hostrl tu.
Afrika Kusini wakati wa makaburu walikuwa wanaviita "matchbox" (vibiriti), hapa Tanganyika tuliviita "kambi za manamba", sasa hawa makaburu weusi nao wamevirudisha. Haya yalitarajiwa yawe makazi aina ya kijiji si waajiriwa manamba wa shamba la mkonge, hivyo vibiriti hivi havikustahili kubananishwa namna hii kama makaburi ya Kinondoni wakati ardhi ni kubwa.Ni kwanini ccm ina uraibu wa kufanya vimirad vidogo karne hii ya 21.
Vijumba vya hivi vidogo ni vya miaka ya 60.
Ukimtoa magufuli , ccm bado wanaishi mwaka 1960.
Nawaza msinijie juu!!Nikiangalia dunia ilipo na miradi yetu haviendaniView attachment 3180933
Kwani Kufanya mamiradi makubwa Kwa Ajili ya kupiga picha unamfurahisha nani?Ni kwanini ccm ina uraibu wa kufanya vimirad vidogo karne hii ya 21.
Vijumba vya hivi vidogo ni vya miaka ya 60.
Ukimtoa magufuli , ccm bado wanaishi mwaka 1960.
Nawaza msinijie juu!!Nikiangalia dunia ilipo na miradi yetu haviendaniView attachment 3180933
Ni kwanini ccm ina uraibu wa kufanya vimirad vidogo karne hii ya 21.
Vijumba vya hivi vidogo ni vya miaka ya 60.
Ukimtoa magufuli , ccm bado wanaishi mwaka 1960.
Nawaza msinijie juu!!Nikiangalia dunia ilipo na miradi yetu haviendaniView attachment 3180933
Hayo ni mabanda!!Kwani Kufanya mamiradi makubwa Kwa Ajili ya kupiga picha unamfurahisha nani?
Kabla ya hizo nyumba walikuwa Wanaishi kwenye mabanda.