Why DNA tests are BANNED in Israel?

Why DNA tests are BANNED in Israel?

Waisrael asilia walibaki Jerusalem mkuu.
Na kuna mapigano yaliyopiganwa nyuma ya miaka ya 1920s kati ya waarabu na wana Israel hapo Jerusalem,ngoja nitaleta hapa.
Ila kile kipindi cha ZIONISM movement asili kuu ya uyahudi ilingiliwa na sasa wanakinzana kuhusu tamaduni halisi za uyahudi.
hapana. waisrael halisi walitawanyika wote, majority walienda iraq na uajemi (iran), wengi sana walienda Yemen, ukienda israel kuna wayahudi wa kiyemen, yaani kizazi kilichohamia kule karne nyingi wamerudi baada ya 1948, hawajui kiingereza ila wanaongea kiarabu na kiebrania. kuna wale wa north africa, kuna wale wa ugiriki, hao ndio wengi, kuna wale wa italia, malta. hao ndio wengi, ila asilimia ndogo sana ndio wale ashkenaz, walihamia ulaya ila wakazaliana sana, ndio hao kina netanyahu wana sura za uzungu.
 
hapana. waisrael halisi walitawanyika wote, majority walienda iraq na uajemi (iran), wengi sana walienda Yemen, ukienda israel kuna wayahudi wa kiyemen, yaani kizazi kilichohamia kule karne nyingi wamerudi baada ya 1948, hawajui kiingereza ila wanaongea kiarabu na kiebrania. kuna wale wa north africa, kuna wale wa ugiriki, hao ndio wengi, kuna wale wa italia, malta. hao ndio wengi, ila asilimia ndogo sana ndio wale ashkenaz, walihamia ulaya ila wakazaliana sana, ndio hao kina netanyahu wana sura za uzungu.
Wapo waliobaki Jerusalem mkuu kafuatilie.
Na pia kuna mapigano mengi yalitokea baina ya waarabu na wayahudi hapo Jerusalem kugombania utawala wa hilo eneo.
Mapigano ya mwisho ni ya 1946 kafuatilie usibishe mkuu.
 
hapana. waisrael halisi walitawanyika wote, majority walienda iraq na uajemi (iran), wengi sana walienda Yemen, ukienda israel kuna wayahudi wa kiyemen, yaani kizazi kilichohamia kule karne nyingi wamerudi baada ya 1948, hawajui kiingereza ila wanaongea kiarabu na kiebrania. kuna wale wa north africa, kuna wale wa ugiriki, hao ndio wengi, kuna wale wa italia, malta. hao ndio wengi, ila asilimia ndogo sana ndio wale ashkenaz, walihamia ulaya ila wakazaliana sana, ndio hao kina netanyahu wana sura za uzungu.
Nenda kasome NEBI MUSA/JERUSALEM RIOTS 1920.
Hayo ni mapigano baina ya waarabu na Jews.
 
hapana. waisrael halisi walitawanyika wote, majority walienda iraq na uajemi (iran), wengi sana walienda Yemen, ukienda israel kuna wayahudi wa kiyemen, yaani kizazi kilichohamia kule karne nyingi wamerudi baada ya 1948, hawajui kiingereza ila wanaongea kiarabu na kiebrania. kuna wale wa north africa, kuna wale wa ugiriki, hao ndio wengi, kuna wale wa italia, malta. hao ndio wengi, ila asilimia ndogo sana ndio wale ashkenaz, walihamia ulaya ila wakazaliana sana, ndio hao kina netanyahu wana sura za uzungu.
Soma hizi mkuu.
Screenshot_2024-07-12-23-02-46-39_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-07-12-23-00-37-79_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-07-12-22-59-48-08_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Whites live in American but they origin is in America, Arabs live in Africa continent but they orogin is middle East, whites live in Australia but they origin is Europe.
 
That's stupid argument.

So they are protecting unfaithful women, right?
Sometimes I wonder how in the world, we as men are so easily manipulated. We pretend to have "mfumo dume" but when it comes to things that matter we fall into the same trap, even rats don't do that.

We have to make new laws that mandate paternity test at birth, as this will prevent unfaithful women from even thinking about bringing another man's child into a family. Of course, there will be some collateral damages, but in the end, the society as a whole will benefit from it.

The book "The manipulated men by Esther Vilar (1971)", explains a lot about these scenarios (manipulation), at the time when the feminist movent was on the rise. Now, more that a half a century after it has gotten out of control.
 
Wapo waliobaki Jerusalem mkuu kafuatilie.
Na pia kuna mapigano mengi yalitokea baina ya waarabu na wayahudi hapo Jerusalem kugombania utawala wa hilo eneo.
Mapigano ya mwisho ni ya 1946 kafuatilie usibishe mkuu.
ndugu yangu, kwani hapo tunaongelea miaka ipi? usije kuwa unajadili miaka ya 1800 na 1900. tunaongelea kabla ya hapo. hatuwezi kusema waliondoka wote kabisa, ila ukweli ukienda Iran kwa mfano, wale waliohamishwaga miaka ileee ya kina Jeremia, shedrack meshack na abednego, kizazi kile, kipo hadi leo na kuna myahudi mmoja hadi alikuwa waziri huko iran miaka ya nyuma. hadi leo iran kuna wayahudi takriban 8000, zamani walikuwa maelfu ila walikimbia wote miaka ya 1900.

ukienda Iraq nako hivyo hivyo. walichukuliwa mateka sana enzi za kina Nebukadreza. jamii za kiyahudi zote hata ukienda israel wanajuana, ni sawa na sisi sote ni watanzania ila tunajuana huyu mtanzania wa Lindi, huyo wa bukoba n.k, na pale israel wanaongea lugha nyingi tu za kuzaliwa nazo. mojawapo ya jamii kubwa sana ya wayahudi walikimbilia na kusettle Yemen, hao wanaitwa wayahudi wa kiyemen, wapo wengi sana walikimbilia uyunani/ugiriki, wapo wengi sana walikimbilia uturuki na huko tangu enzi hizo ndiko alikozaliwa Paulo, paulo alikuwa mtu wa tarso huko uturuki. hata wakati wa Yesu alipopaa mitume walikuwa wakienda nchi kwa nchi wakihubiri kwenye masinagogi ya wayahudi, walishasettle huko.

ukienda israel leo kuna wayahudi, pamoja na kwamba wanaongea kiebrania, ila wanaongea kirusi, kiarabu, kiukraine, kiingereza, kijerumani, kipolishi, kifaransa n.k. mpaka mwaka wa 1900 idadi ya waarabu pale holy land ilikuwa kubwa mno kuizdi wayahudi ambao walisharudi kuungana na wachache sana ambao hawakupelekwa ukimbizini. huko kote walitawanyika walitawanyika kama wakimbizi waliokuwa wanakimbia persecution kutokana na dini yao. ila kufikia 1948 wayahudi walishafikia 600,000 na wakawazidi waarabu idadi.

hao wanaoitwa wapalestina, ni wahamiaji wa kiarabu waliovamia ardhi ya wayahudi baada ya kukimbilia ukimbizini. wengi ni wamisri, wajordan, lebadon, syria n.k. na hata sura zao zinajulikana hata kiongozi wa mmoja aliongea hapa juzi kwamba wapalestina ni wahamiaji toka mataifa hayo.

wanashindwa kufuta historia kwasababu hadi leo pale israel kuna kaburi la Daudi, Absalom , kisima cha yakobo na ushaidi mwingi unaoonyesha eneo lile ilikuwa falme ya wayahudi lakini baada ya kwenda ukimbizini waarabu wakavamia, wakapaita kwao.
 
ndugu yangu, kwani hapo tunaongelea miaka ipi? usije kuwa unajadili miaka ya 1800 na 1900. tunaongelea kabla ya hapo. hatuwezi kusema waliondoka wote kabisa, ila ukweli ukienda Iran kwa mfano, wale waliohamishwaga miaka ileee ya kina Jeremia, shedrack meshack na abednego, kizazi kile, kipo hadi leo na kuna myahudi mmoja hadi alikuwa waziri huko iran miaka ya nyuma. hadi leo iran kuna wayahudi takriban 8000, zamani walikuwa maelfu ila walikimbia wote miaka ya 1900.

ukienda Iraq nako hivyo hivyo. walichukuliwa mateka sana enzi za kina Nebukadreza. jamii za kiyahudi zote hata ukienda israel wanajuana, ni sawa na sisi sote ni watanzania ila tunajuana huyu mtanzania wa Lindi, huyo wa bukoba n.k, na pale israel wanaongea lugha nyingi tu za kuzaliwa nazo. mojawapo ya jamii kubwa sana ya wayahudi walikimbilia na kusettle Yemen, hao wanaitwa wayahudi wa kiyemen, wapo wengi sana walikimbilia uyunani/ugiriki, wapo wengi sana walikimbilia uturuki na huko tangu enzi hizo ndiko alikozaliwa Paulo, paulo alikuwa mtu wa tarso huko uturuki. hata wakati wa Yesu alipopaa mitume walikuwa wakienda nchi kwa nchi wakihubiri kwenye masinagogi ya wayahudi, walishasettle huko.

ukienda israel leo kuna wayahudi, pamoja na kwamba wanaongea kiebrania, ila wanaongea kirusi, kiarabu, kiukraine, kiingereza, kijerumani, kipolishi, kifaransa n.k. mpaka mwaka wa 1900 idadi ya waarabu pale holy land ilikuwa kubwa mno kuizdi wayahudi ambao walisharudi kuungana na wachache sana ambao hawakupelekwa ukimbizini. huko kote walitawanyika walitawanyika kama wakimbizi waliokuwa wanakimbia persecution kutokana na dini yao. ila kufikia 1948 wayahudi walishafikia 600,000 na wakawazidi waarabu idadi.

hao wanaoitwa wapalestina, ni wahamiaji wa kiarabu waliovamia ardhi ya wayahudi baada ya kukimbilia ukimbizini. wengi ni wamisri, wajordan, lebadon, syria n.k. na hata sura zao zinajulikana hata kiongozi wa mmoja aliongea hapa juzi kwamba wapalestina ni wahamiaji toka mataifa hayo.

wanashindwa kufuta historia kwasababu hadi leo pale israel kuna kaburi la Daudi, Absalom , kisima cha yakobo na ushaidi mwingi unaoonyesha eneo lile ilikuwa falme ya wayahudi lakini baada ya kwenda ukimbizini waarabu wakavamia, wakapaita kwao.
Mkuu unaandika maelezo mengi ambayo huwenda hayana tija.
Iwe 1800 ama 1700 ama 1000 wana Israel hawakuondoka wote.
Wapo waliobaki hapo Jerusalem na wakaishi mpaka kufikia leo.
Pale Westbank kuna hati miliki za ardhi za wayahudi tokea 1400 huko kipindi Ottoman Empire ndio inakua.
Kiufupi Jerusalem walibaki wayahudi asilia toka enzi na enzi.
 
Sababu Iko wazi wale siyo native wa Ile nchi ni wazungu wamekusanya na kuvamia pale
Sawa mkuu, sasa kwanini hao wazungu walichagua kuvamia nchi hiyo na si nyingine? Unadhani ni nini hasa kiliwavutia na kuamua kuishi pale Israel?
 
New ni mtu,Kama vile Muslim, Judaism ni Imani Kama vile Islam,kufika huko siyo kujua ya huko, Israel Ina waarabu yeah,na uislam ni dini ya pili kwa ukubwa Israel baada ya Judaism,hoja Yako nini!?
Jews na Judaism kama hujui tofauti yake tulia
 
Jew ni mtu/muumini, Judaism ni Imani yenyewe,Muslim ni mtu, Islam ni Imani yenyewe,Jewish/islamic
Ndio maana nikakusahihisha kuna dini kuna dini na kuna watu so Judaism unaweza kuwa hata wewe lakin huwez kuwa myahud.
 
Back
Top Bottom