When a dumb person from somewhere tries so hard to look smart online.Thinking ya hovyo sana hii
Umejaribu kuchambua Kampuni inayofanya Stratretic Plan nzuri then instead kuisifia umeiponda.
Umeonesha kampuni inayofanya Branding yake Primitive kama wako zama za mawe then ukaisifu.
Kichwa kinachowaza kwa namna hii kinapaswa kibinywe na winji hadi kupasuke.
Haya mambo ya NG'OMBE na KUPE.Nimesikia haya Mambo kuwa Rayvanny anaongoza mauzo katika digital platform, ni kweli lakini mi sioni kama ni hoja.
Sawa anauza sana hata Zuchu anauza sana lakini kuna hasara yake kwa upande mmoja au mwingine, asilimia kubwa ya mauzo ya Rayvanny na Zuchu yanakwenda kwa Diamond , so hata kama Vanny boy anauza sana hafaidiki moja kwa moja na mapato yote, hayo mapato ndio Diamond anatumia kulipa mishahara ya wafanyakazi coz mfano Wasafi fm haiingizi pesa za kutosha.
Pia Vanny boy na Zuchu wanatembelea kick ya master Platnumz, wakitaka wajipime waseme tunatoka kwa muajiri wetu WCB I mean Platnumz.
Harmonize na Mavoko kilichowatoa ni mgao wanaopata kwenye mauzo ya nyimbo zao ulikuwa mdogo mwingi ukienda kwenye kampuni.
Inawezekana Harmonize anauza kidogo kuliko Rayvanny lakini akawa ana kipato kikubwa kuliko Rayvanny kwa sababu Rayvanny ni muajiriwa wa Diamond na anapangiwa anachostahili kupata.
Hana hata wa kuwanyonya?Na wewe kawanyonye wenzio kama rahisi
Point kubwa sana hii, Wengi hawataelewaKama wataka kujua wananyonywa au la! Watoke WCB ndiyo watajua kuwa hata chankunyonywa hawana.
Diamond namkubali kwa jinsi alivyotengeneza jina na brand kubwa na akawabeba vijana wengi
Harmonize pia anaingiza kidogo na ana bajeti kubwa...Ebu fikiria kuwasimamia wasanii wake ambao hawana hata shows zozote ni hasara kiasi gani??Zuchu Ana stream nyingi lakini anachoingiza ni kidogo
Daaah WaelewesheKama wataka kujua wananyonywa au la! Watoke WCB ndiyo watajua kuwa hata chankunyonywa hawana.
Diamond namkubali kwa jinsi alivyotengeneza jina na brand kubwa na akawabeba vijana wengi
Mitandaoni na uhalisia ni vitu viwili tofauti. Rayvany nilikuwa naumona gym moja pale Jangwani sea breez appartments ana prado diamond nyeupe mpaka leo haijabadilishwa namba za zanzibar( hii ina maana ushuru kupatikana ni shida) kuleta namba za bongo. Hana kitu yule jamaa. Ni msanii ana kipaji lakini hela bado yote inaenda kwa diamond wanaishi kwa hisani ya diamond wote wakina baba levo hao wanapanda mpaka bodaboda.
Msanii kama mboso angetulia akajisimamia angepata fedha nyingi lakini mwisho wa siku wote inabidi wakajitegemee ili WCB ichukue vipaji vipya.
Ulitakiwa ufanye mlinganyo huu ikiwa Zuchu na Rayvanny wanajitegemea kivyao yaani wapo nje ya Wasafi, vinginevyo hujamtendea haki Konde boyLebo ya Kondegang ilianza Rasmi mwaka 2019 ikiwa na msanii mmoja ambae ni Harmonize baadae akamsajili Ibraah.
Leo nawapa mauzo ya nyimbo za Zuchu na Kondegang wote kwa Ujumla.
REPORT ZA YOUTUBE NA KONDEGANG:
VIEWERS WA IBRAAH
1. One Night Ibraah Ft Harmonize YouTube ina Viewers M 12
2. Nani_Ibraah Views Milioni 2.4
3. Nitachelewa _Views Milioni 2.2
4. Nimekubali _ Views Milioni 1.7
5.Wandoto _ Views Milioni 1.6
6.Nimpende _ Views Milioni 1.2
7. Sawa _ Views Milioni 1
JUMLA NI SAWA NA VIEWERS MILLIONI 22.1
.
VIEWERS WA HARMONIZE 2019/2021
1. UNO _ VIEWERS M 12
2.JESHI _VIEWERS M 6.6
3. USHAMBA _VIEWERS M 6
4.MPAKA KESHO VIEWERS M 4.8
5.FALLING IN LOVE VIEWERS M 4.8
6. BEDROOM _VIEWERS M 4
7. WIFE _MILLION 3.7
8.MAMA _VIEWERS M 2.8
9.HAINISHTUI _VIEWERS M2.9
10. ANAJIKOSHA VIEWERS MILLION 2.4
JUMLA NI VIEWERS MILIONI 47.6 +22.1=MILLION 69.7
.
.
VIEWERS WA ZUCHU
:
1. SUKARI YA VIEWERS M 26
2. CHECHE _VIEWERS M 19
3.LITAWACHOMA _VIEWERS M.15
4. WANA _VIEWS M. 11
5.NISAMEHE _VIEWERS M. 10
6.MAUZAUZA _VIEWERS M 8
7.RAHA _VIEWS M 7.8
8.NO BODY_ VIEWERS M. 6.2
9.KWARU _VIEWERS M 5.7
.
.
JUMLA NI 108.7
.
.
NAMALAZIA NA BOOMPLAY
HARMONIZE ANA STREAMS NA DOWNLOADS MILIONI 12.8 HUKU KIJANA IBRAAH AKIWA NA MILIONI 2 JUMLA NI MILIONI 14.8
MSANII ZUCHU ANA JUMLA YA STREAMS NA DOWNLOADING MILIONI 23.2
VIPI KUNA SABABU YA VITA YA HARMONIZE NA RAYVANNY?
Mpatuka umemjibu kisomi asipoelewa atakuwa na upungufu wa akili wa mwiliniwewe unaishi kwa stor za kusikia tu, mimi nimeangalia kazi zake kwenye majukwaa ya mziki na ndiyo nikaja na hiyo figure. Sasa habar za kulala sebuleni, kuomba Kodi nk mm havinihusu Wala siyo sehemu ya huu mjadala. Nenda huko kwenye music platforms halafu uje unibishie kuwa hiyo figure si sahihi.
Hizi ni akili za kipumbavu mbona huyo harmonize alivyotoka nae kaanzisha team yake ya akina jembe ni jembe n.k hakuna msanii ambaye ni jeshi la mtu mmojaUlitakiwa ufanye mlinganyo huu ikiwa Zuchu na Rayvanny wanajitegemea kivyao yaani wapo nje ya Wasafi, vinginevyo hujamtendea haki Konde boy
Wanaweza vizuri.Unazan hao wakisimama wenyewe kama harmonize wanaweza kufika hizo streams and download?
Ukikua utaacha. Fedha haijifichi hata siku moja. Ukimuona binti wa Mzee noni doreen au wa Mzee wa vijisenti madina directly unaona hela ipo. Wananukia tuu ma joe malone yaani wananukia pesa.Sasa ulivyo muona tu ukajua hana hela,hujui kwenye acc zake ana kiasi gani,hujui hata gawio lake kiasi gani kwenye mziki.
Ila cha ajabu hushangai huyo aliye toka WCB nae kaanzisha label,vip wasanii wake nae anawanyonya?
Halafu why WCB? kings ina miaka zaidi ya mitatu,wasanii wake vip nao wana hela kuliko wa WCB,Ibra ana mwaka vipi nae ana hela kuliko Zuchu.
Manake Harmonize katoka WCB kwa madai yake alilipa mil 500 ya kuvunja mkataba,sasa hiyo mia tano aliipata wapi kama sio kwenye label.Kama hela anawapangia Diamond huyo Konde hela ya kuwalipa WCB aliitoa wapi au alilipwa na Diamond?
Hapo bado hela ya kuendesha projects zake,hela ya kuanzisha label (wasanii watano) alizipata wapi?
Ukikua utaacha. Fedha haijifichi hata siku moja. Ukimuona binti wa Mzee noni doreen au wa Mzee wa vijisenti madina directly unaona hela ipo. Wananukia tuu ma joe malone yaani wananukia pesa.
Ukikutana na Ndama mtoto wa ngombe japo ni mweusi lakini ngozi yake na nguo alizovaa unajua pesa ipo bado gari analoendesha.
Sasa vanny, baba levo,lavalava, darleeen,uncle shamte hao wote ukisogeleana nao tu unajua bado arosto apeche isipokuwa diamond ndio ukimuona unajua hela ipo.
Nikusaidie Harmonize pale wcb katoka kwa nguvu ya upande wa pili ule wa clouds particular Jembe hakuwa na hela ya kusimama mwenyewe bila godfther na competitor. Ile ni biashara usifikiri katoka tuu ana target lazima aachieve mwisho wa siku.
me umejishindia 90000000071567/= ktka konde gang hqAll in all harmonize anawanyima usingizi crew Nzima ya wasafi, and he is just one guy , wanataka kumuona akishuka too bad Mungu sio juma Harmo Kila Siku nyota yake inazid kuwaka juu , huyu mmakonde kamzid domo ujanja
Ibra amefanya show gani tangu ametambulishwa? ukiacha za ccm tena hazizidi 3 na Zuchu kafanya almost zote na hit ya mwenda zake.Mngekuwa na akili kubwa kidogo kama mdomo wa boss wenu ingewasaidia sana.
Huyo Zuchu gharama zilizotumika kumpa hiyo mileage ni kubwa mnoo, na kwa vyovyote hajaingiza faida.
Hata YouTube channel yake imekuwa boosted mnooo. Kwahiyo hapo kuna mchanganyiko wa organic na paid views. Ukijumlisha ile branding affair aliyofanyiwa Mlimani City ni zaidi ya 10M.
Lakini hao Kondegang, ukicheck kazi zao zinaenda organically.
Probably huyo kibiashara Ibraah ameanza kuingiza faida lakini Zuchu bado.
Mwaka jana show ni kama hazikuwepo ukichanganya na uchaguzi na Corona.Ibra amefanya show gani tangu ametambulishwa? ukiacha za ccm tena hazizidi 3 na Zuchu kafanya almost zote na hit ya mwenda zake.
Sasa Rayvany kaingiaje hapaLebo ya Kondegang ilianza Rasmi mwaka 2019 ikiwa na msanii mmoja ambae ni Harmonize baadae akamsajili Ibraah.
Leo nawapa mauzo ya nyimbo za Zuchu na Kondegang wote kwa Ujumla.
REPORT ZA YOUTUBE NA KONDEGANG:
VIEWERS WA IBRAAH
1. One Night Ibraah Ft Harmonize YouTube ina Viewers M 12
2. Nani_Ibraah Views Milioni 2.4
3. Nitachelewa _Views Milioni 2.2
4. Nimekubali _ Views Milioni 1.7
5.Wandoto _ Views Milioni 1.6
6.Nimpende _ Views Milioni 1.2
7. Sawa _ Views Milioni 1
JUMLA NI SAWA NA VIEWERS MILLIONI 22.1
.
VIEWERS WA HARMONIZE 2019/2021
1. UNO _ VIEWERS M 12
2.JESHI _VIEWERS M 6.6
3. USHAMBA _VIEWERS M 6
4.MPAKA KESHO VIEWERS M 4.8
5.FALLING IN LOVE VIEWERS M 4.8
6. BEDROOM _VIEWERS M 4
7. WIFE _MILLION 3.7
8.MAMA _VIEWERS M 2.8
9.HAINISHTUI _VIEWERS M2.9
10. ANAJIKOSHA VIEWERS MILLION 2.4
JUMLA NI VIEWERS MILIONI 47.6 +22.1=MILLION 69.7
.
.
VIEWERS WA ZUCHU
:
1. SUKARI YA VIEWERS M 26
2. CHECHE _VIEWERS M 19
3.LITAWACHOMA _VIEWERS M.15
4. WANA _VIEWS M. 11
5.NISAMEHE _VIEWERS M. 10
6.MAUZAUZA _VIEWERS M 8
7.RAHA _VIEWS M 7.8
8.NO BODY_ VIEWERS M. 6.2
9.KWARU _VIEWERS M 5.7
.
.
JUMLA NI 108.7
.
.
NAMALAZIA NA BOOMPLAY
HARMONIZE ANA STREAMS NA DOWNLOADS MILIONI 12.8 HUKU KIJANA IBRAAH AKIWA NA MILIONI 2 JUMLA NI MILIONI 14.8
MSANII ZUCHU ANA JUMLA YA STREAMS NA DOWNLOADING MILIONI 23.2
VIPI KUNA SABABU YA VITA YA HARMONIZE NA RAYVANNY?