Habari wakuu
Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia.
Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na mavuzi mengi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).
Sasa amerudi akaniona nimejinyoa,akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.
So wakuu, hii kesi naisolve vipi?
Zaidi ya mwaka mmojaNdoa in muda gani
Noma kweliHabari wakuu
Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia.
Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na mavuzi mengi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).
Sasa amerudi akaniona nimejinyoa,akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.
So wakuu, hii kesi naisolve vipi?
Huwaga ni wajingawajinga na hawana malezi ngangari..mama yangu ujilizelize uwiiiiIla wanawake wanaopenda kujiliza liza huwa siwaelewi.
Kuna mmoja hapa jana aligaragara chini, mwili mzima michanga, eti kaliaaaa hadi mashetani yamempanda, sababu ya yote hayo kashika simu ya mume wake kakuta anachat na mchepuko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe nuna hakuna namna
Bado ni mapema anastahili kufanya hivo, itafika kipindi hata ukinyoa hatanoticeZaidi ya mwaka mmoja
Sasa aunt wee huliagi vile uncle akizingua? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila wanawake wanaopenda kujiliza liza huwa siwaelewi.
Kuna mmoja hapa jana aligaragara chini, mwili mzima michanga, eti kaliaaaa hadi mashetani yamempanda, sababu ya yote hayo kashika simu ya mume wake kakuta anachat na mchepuko.