Wife katoka out bila kunijulisha

Halafu umetoka na watoto utachepuka saa ngapi taabu yote ya nini
 

Kumchunga Mwanamke ni kujitafutia magonjwa yasiyoambukiza, acha hizo kbs!
 
wewe sema ulitakata tu kutueleza kuwa uko nje ya nchi
 
Halafu umetoka na watoto utachepuka saa ngapi taabu yote ya nini
Eti..! Jamaa linajipa presha bure tu. Mke kama ni kuliwa kweli lazima ataliwa, maana huez kusema eti atavumilia siku zote mpaka jamaa lirudi, lakini ataliwa mda na wakati ambao anajua kabisa lijamaa halitajua wala halitahisi kitu.
 
Hayo ndo manyoya ambayo wahenga wanasema unapoyaona hayo ujue keshaliwa.

Na huwezi to undone.

Hongera kwa wivu
 
Mjomba fimbo ya mbali haiui nyoka na mwanamke hachungwi.
Shukuru hata watoto wameenda beach.
Kama kunasela anakusaidia, shukuru tu bado wife anajali watoto.
Kama hutaki hizi stress mlete airelandi pia.
Unadhan kuna manzi hataki kwenda uzunguni pia?
Akimleta Ireland wataachania huko huko.
 
Pound 1000 mbona ndogo Sana mkuu kibongo bongo
 
punguza wivu na kutengeneza picha nyingi kichwani, kama ana nia ya kukucheat
1. asingeenda na watoto.
2. asingepikea simu ulipompigia
3.asingekua kwenye kelele, pangekua pametuliaa tuliii

sasa mzee unataka kila kitu uambiwe na haupo Tz, kama unataka kumrekebisha mwambie tuu kiutani 'bb, yaan unatoka hata huniambii' ila ukimuuliza serious ataona humuamini, we piga kazi huko, haya mambo ya mapenz yatakuumiza bure.. sasa ww unalia hujapewa taarifa ya outing, kuna mwenzako toka jana amelala mwenyewe na hajui mke yupo wapi, akirudi ataambiwa punguza wivu na kunifuatilia... ndoa zimekua na changamoto sana
 
Nilivyoona tu Β£ 1000 nimeacha kusoma. Acha utoto inaonekana hata maana ya mke
 
Pounds Ireland?

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…