Wife katoka out bila kunijulisha

Kwa hiyo ulitaka akae ndaniituu kama utumbo🤣🤣🤣🤣🤣
 

Sio dalili nzuri. Next time zikikaribia sikuu uje mwenyewe
 
Una hakika huyo ni mke? Au ni hawara wako tu single maza flani? 🤣 🤣 🤣
 
Wanawake sio waaminifu hata kidogo,huyo mkeo usikute Kuna njemba inamtembezeaga rungu kiulaini tu.Embu fanya jitihada umpsndishe pipa aje huko Ireland maana Hawa viumbe Ni miyeyusho Sana
Mwache anko Steven ale mzigo bana 😀 kwanza kina junior wanampenda sana.
 
Wee mpepe umeanza lini kuuvuta wakati wauni tushakukataza? Jana si tulikuwa wote pale kijenge juu kwa bi mshanaa tunakula mandazi !??

Leo tena upo ayalendi??!😳😳


Is Dublin Ireland pound or euro?


The currency of Ireland is the Euro. Check before you travel that your bank cash card can be used in ATM machines in Ireland.

Hapo alipo ameshindia ugali na dagaa na yuko Keko Magurumbasi, paundi 1000 atazitoa wapi sembuse kwenda Ireland!

Inasikitisha jinsi watu wanatoa ushauri wakati hii inafahamika wazi ni chai

Nilivyoona tu £ 1000 nimeacha kusoma. Acha utoto inaonekana hata maana ya mke

Pounds Ireland?

Amandla...
Sasa nyie mnataka kuharibu interview!!!
 
Kuna mademu ambao wao kutiwa ni kama chakula yani, anatombwa kila weekend na watu tofauti 🤣🤣🤣 na wala hajali. Hao ndio ukioa umeisha.
 
Kumchunga ukiwa mbali ni ngumu, kikubwa ukirudi hakikisha unampima vipimo vyote kabla hujaanza tena kumla. By vipimo vyote namaanisha ngoma, mimba, homa ya ini, marinda etc
Dah mkuu umetisha[emoji1787]
 
Wanawake sio waaminifu hata kidogo,huyo mkeo usikute Kuna njemba inamtembezeaga rungu kiulaini tu.Embu fanya jitihada umpsndishe pipa aje huko Ireland maana Hawa viumbe Ni miyeyusho Sana
Si ndio atamkimbia kwenda kwa wageni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…