Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Endelea Kuota
 
 
Na yeye atanunuliwa? Au? Maana tunasikia akihama toka upande ule kwenda huu WANANUNULIWA!
 
Watu wanajali matumbo yao tu hasa huko ccm mtu yupo radhi kuliongepea Taifa ili kulinda ugali na Ac za maofisini
 
Bei haikuwa nzur waliyofika ukizingatia jamaa ana mikopo alipomuambia mnunuz anataka makusanyo ya mwez akaufyata.
 
Acha ushamba ww siasa haipo hivyo unavyodhani ww eti kisa msamaha!
Duh hawa ndiyo aina ya prospective leaders in tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…