Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
.......Mkapa ndani? Duh!
.......hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.......Mkapa ndani? Duh!
Endelea KuotaHabari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
......Kwa ajili ya kuachiwa huru watu flani flani?
.....Endelea Kuota
Jamaa ni muongo mpaka anajing'ata.embu soma ulivyo andika.
Umesema umemwona A town na mh Lema,
.......Jamaa ni muongo mpaka anajing'ata.
Subiri tarehe 18-19 dec........
.......subirini si kesho kuttwa tuùuh
Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
......Subiri tarehe 18-19 dec.
.....Sidhani maana hawa hawajawahi shika nyazifa kubwa kwenye chama
Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Na yeye atanunuliwa? Au? Maana tunasikia akihama toka upande ule kwenda huu WANANUNULIWA!Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
......Na yeye atanunuliwa? Au? Maana tunasikia akihama toka upande ule kwenda huu WANANUNULIWA!
Bei haikuwa nzur waliyofika ukizingatia jamaa ana mikopo alipomuambia mnunuz anataka makusanyo ya mwez akaufyata.Naye kanunuliwa?
Halafu isije kuwa ni propaganda zenu tu nyie CHADEMA na CCM maana pia kuna sehemu nimeona mtu anadai kuna watu wakubwa watahama CHADEMA kurudi CCM.
Lema naye alipandisha watu presha akidai kati ya Jumatano na Ijumaa ya wiki hii kuna mvulana atahama CHADEMA na kwenda CCM lakini haikutokea.
Same ‘ol bullshit.
.....Mwandosya