Dodoma kuna wapiga deal tu pale ila wamejivika vazi la uzarendo..Hawa viongozi wengine wanapenda drama za mitandaoni huku kazi wengi ni kaputiiiiiii.
Mtuache leo sikukuuu tupo tunaangalia kinachojiri Dodoma.. ambapo ndio kumekucha
....huyo ana nongwa kweli, hata kiti cha udiwani ccm wamekikosa.Mwandosya sidhani, atakuwa Membe tu
Kwani ccm ndio iliyomtuma akatengeneze arv bandia ?Kwa kweli Madabida anateswa sana. Ningekuwa mimi ningehama ccm na kubaki mtaifa tu
Tena kuwe na hadi dirisha dogo la usajiliNaona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
Mchukulieni hatua kabla hajahamaMmeanza kununua?kwi kwi kwi...!!
CCM hamna mtu mkubwa wote ni sawa mbele ya Jicho la chama.
By the way hakuna muadilifu anayeweza kuhama CCM bali fisadi tu...
....alikukonyeza amekata ngapi !?Jana nilimuona A Town na MH.LEMA nikajiuliza na nikamuliza Mh lema vipi huyu kiongozi wa ccm anatafuta nini lema kanikonyeza na kusema kamanda kaja kujisajili.
Swissme
.....Hizi santuri zilishachokwa. Si ahame tu then ndio autangazie umma? Haya matetesi ya kila siku hayana mashiko.
.....hata Kikwete?
U made my dayNaona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
....alikukonyeza amekata ngapi !?
.....
.....Nimeisikia hiyo chinichini Mkuu kaamua Kula Krismas bila presha
.....na huyu si mwana uaalama mkongwe ! hamta baki salama.Nahisi Membe, anaungana na Nyalandu, au chama kingine!
embu soma ulivyo andika.
Umesema umemwona A town na mh Lema,
Basi hizo bidhaa zitakuwa reject !Kwetu wanajuja bure kwao wananunuliwa
Swissme
Afu sijui kwann kila nkiona comments zako nnahisi wewe labda ni Jerry Muro au Kubwa Jinga yule kitambiHawa viongozi wengine wanapenda drama za mitandaoni huku kazi wengi ni kaputiiiiiii.
Mtuache leo sikukuuu tupo tunaangalia kinachojiri Dodoma.. ambapo ndio kumekucha