Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Tetesi: Wiki ijayo nchi kutikisika, mtu mkubwa sana kukihama Chama cha Mapinduzi

Hawa viongozi wengine wanapenda drama za mitandaoni huku kazi wengi ni kaputiiiiiii.

Mtuache leo sikukuuu tupo tunaangalia kinachojiri Dodoma.. ambapo ndio kumekucha
Dodoma kuna wapiga deal tu pale ila wamejivika vazi la uzarendo..
 
Mzee Ali Hassa Mwinyi yuko wapi?
 
Mmeanza kununua?kwi kwi kwi...!!

CCM hamna mtu mkubwa wote ni sawa mbele ya Jicho la chama.

By the way hakuna muadilifu anayeweza kuhama CCM bali fisadi tu...
Mchukulieni hatua kabla hajahama
 
Jana nilimuona A Town na MH.LEMA nikajiuliza na nikamuliza Mh lema vipi huyu kiongozi wa ccm anatafuta nini lema kanikonyeza na kusema kamanda kaja kujisajili.



Swissme
....alikukonyeza amekata ngapi !?
 
Hawa viongozi wengine wanapenda drama za mitandaoni huku kazi wengi ni kaputiiiiiii.

Mtuache leo sikukuuu tupo tunaangalia kinachojiri Dodoma.. ambapo ndio kumekucha
Afu sijui kwann kila nkiona comments zako nnahisi wewe labda ni Jerry Muro au Kubwa Jinga yule kitambi
 
Back
Top Bottom