Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,874
- 5,685
Mnamnunua bei gani?Kwisha habari yao
Swissme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamnunua bei gani?Kwisha habari yao
Swissme
Mwambie Wanaccm tunamtakia kila la heri[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Nobody ever leaves the KGB..Hii kauli nimeikumbuka kwenye zile muvi zetu za wahenga.Jana nilimuona A Town na MH.LEMA nikajiuliza na nikamuliza Mh lema vipi huyu kiongozi wa ccm anatafuta nini lema kanikonyeza na kusema kamanda kaja kujisajili.
Swissme
Hv nackia mtoto ake anagombea UVCCMKwa kweli Madabida anateswa sana. Ningekuwa mimi ningehama ccm na kubaki mtaifa tu
Kweli kiongozi ngoja tubakie jukwaani tushuhudie mtanange live bila chenga.Wakija kwenu mnashangilia kweli kweli, wakianza kurudi walikotoka mnalalamika kuwa kuna mpango wa kuuwa upinzani. Siasa za bongo ukiwa mtazamaji ni burudani tosha.
Poa, huyu hajanunuliwa kweli??Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Hivi kale kawimbo unakakumbuka mkuu?tuna imaniiiiiiii na ..................?Mmeanza kununua?kwi kwi kwi...!!
CCM hamna mtu mkubwa wote ni sawa mbele ya Jicho la chama.
By the way hakuna muadilifu anayeweza kuhama CCM bali fisadi tu...
Acha kulia mkuu....ukinywa maji maumivu hupoteaChadema acheni ujinga kumpokea membe hakuwasaidii
Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
HahahahaaaaNaona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
Kama sio Membe au Mwandosya sijui...
Lipo wazi 24/lifeDilisha dogo la usajiri kwani linafungwa lini?
Bure,hahahahaha sasa mtamnunua kwa Tsh nagapi?