Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A ni rahisi kupataMkuu ebu nielekeze vzri hapo..
Mimi ni A+
Ni kweli kabisa!yaani viral load ni kiasi cha virusi kwenye damu
kama muathirika akitumia ARVs vizuri basi kile kiasi kinapungua na uwezo wa kumuambukiza mtu unakuwa mdogo
hii ni kwa uelewa wangu DR Mambo Jambo anajua kiundani
Sijui kwa sababu sijawahi kuwa mgonjwa wa huo ugonjwa 😃😃😃Tiba inachukua muda gani?
Na je Kuna aliyewahi kuponywa na huyo jamaa?
Au ndo wale kina babu wa loliondo?
Huyo aliyekuficha kwa makusudi na hali anajua afya yake nenda kamshitaki.Habari za muda huu ndugu zangu,
Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.
Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.
Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..
Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.
Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..
Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.
Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?
Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...
Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...
Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
OkKama anat
Kama anatumia dawa Kwa usahihi, hawezi kukuambukiza, pia wapo watu wasio weza kupata maambukizi lakini Hawa watu ni adimu kama almasi.....Tuliza akili uamue Kwa hekima......
Mkuu mbona kama unanisagia kunguni sasaMkuu unayemshauri sidhani hata miaka 30 kafikisha na Yeye alikuwa anavimba humu anamiliki Lishangazi aasa sijui ilikuwa ni kweli au anatuchangamsha tu?
Utajijua na shida zako mkuuMkuu futa kauli yako ya kuwa mimi nilijitakiq
Haya mbona yalisha pita mkuu.ujana maji ya moto elewaShida ilianzia hapa Sasa ni muda wa kula matunda uliyoyapanda😂
"Wewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.
Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.
Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.
Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... 😋😋😋😋😋"
Acha masikhara mkuuPoor kama poor jina limekuponza mr poor brain.😂😆😂😆😆😆😆😆 Poor umeyatimba na ukimwi unao wewe anza kuandaa tumbo la kumeza pipi.
Acha tuuNdoa bwana. Unaishi na mtu ila moyoni una siri nyingi kiasi unajiona haupo salama, inafika mahali unaanza kuishi kwa matumaini na kujifariji kwamba ipo siku utakuja kuishi bila ya huyo... Nyie ndoa ikikosa kibali machoni pa Mungu ni mateso mazito hujapata ona zaidi utayaona ukiwa tyr umeyavagaa
Nyie nyie nyie
Nahisi nitakua salama tuuMtu anayetumia Dawa vizuri hawezi ambukiza mtu kwa Mujibu wa Wataalamu wa Afya.
Daaah niulize dalili... !!Acha kuwadanganya watu humu yaani uzi mzima usiulize dalili za ukimwi zinaanza kuonekana baada ya muda gani maana ndio kitu cha kwanza mtu akipitia hali huanza kuuliza mara kwa mara.
Kuna kitu ujaelewa...!!?Hapo ndio tunapima upendo wa kweli sasa kama ulimpenda kwa shida na raha ishi nae tu, ila kama utamuacha basi hukumpenda kweli
Breki za katuni msala kaka. DahUmenikumbusha Kuna dada mmoja muuza uji mtaani nilikua namzimia kinoma sasa mi siyo mpenzi wa uji lakini nikaanza tabia ya kunywa uji kila siku siku moja nimempa hela nimesimama nae karibu akafungua pochi yake ili anipe chenji eeh bana wee si nikaona kikopo cha ARV
Nilipiga zile breki za katuni
Kama umeikanyaga miwaya ni PM nikupe namba ya mtu akutibu ndani ya mwezi tu kapime tenaMkuu mbona kama unanisagia kunguni sasa
We pima kujiridhisha sababu hata mngetoka wote kwenda nae pima, majibu yangekuwa negative wote ijapokuwa yeye positiveDaaah mkuu jibu kama hili nimesubiri sana kwa mda mrefu...
Je unazani hapa kuna haja ya kupima ?
Je niendelee nae au ..?